Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Kwanini anatuma salaam kama mwenyekiti wa chama cha siasa kinachowakilisha asilimia 20 tu ya watanzania badala ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania anayewakilisha wananchi wote over and beyond partisan politics?
Hakika huku ni kupatwa kwa taifa.