chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
we have too many problems already to worry about a Christmas wish, don't you think?Hawa hapa wanaojua "necessity"
Trump, fist raised, wishes all a Merry Christmas - CNNPolitics.com
we have too many problems already to worry about a Christmas wish, don't you think?Hawa hapa wanaojua "necessity"
Trump, fist raised, wishes all a Merry Christmas - CNNPolitics.com
Not that many otherwise "matching" to the freedom square would have taken place.we have too many problems already to worry about a Christmas wish, don't you think?
Nyie nae mmezidi ni wapi katiba inamtaka atume salam za kristmas kwa wanchi? Acheni upoyoyoKama ilivyo kawaida ya viongozi wa nchi kote duniani. Viongozi hao Hutuma salamu za Krismasi kwa wananchi wao wenye imani ya Kikristo.
Nini kilichomfanya rais kutoona UMUHIMU kuwatakia watanzania Krismasi njema?
Kawatumia clouds tu , hata Tbc kawatosa !Kama ilivyo kawaida ya viongozi wa nchi kote duniani. Viongozi hao Hutuma salamu za Krismasi kwa wananchi wao wenye imani ya Kikristo.
Nini kilichomfanya rais kutoona UMUHIMU kuwatakia watanzania Krismasi njema?
Why not TBC ? #wewantbackourTax#Ametuma clouds media
duuuuuh!
- Watu mmepigika ile mbaya mnafikiria salam mnachekesha kweli.Watoto wamerudishwa vyuo vikuu serkali haina pesa za kuwakopesha lakini ina pesa za kujenga mabweni huko huko chuoni.Maajabu ya serkali ya CCM.Ameharibu uhamiaji anapewa ubalozi.Ameshindwa kusimamia vyuo anapewa NIMRI,akauwe watu.Hiyo ndiyo hapa kazi tu.
aache kuandika uuni x- mass ndo niniHii ni ya kiserikali au ya kichama, iliwekwa kwenye Facebook ya ccm?
You mean demonstration? so you think we have a better life than Egyptians? south Africans? French ? or other countries where political demonstration are common?Not that many otherwise "matching" to the freedom square would have taken place.
izo zilikuwa salamu kwa ajili ya clouds mediaAmetuma clouds media
Pengine hakutaka kuwa mnafiki. Anajua wengi wenu hamtaifaidi na kujirusha kama mlivyozoea kwa sababu mbali mbali. Kama kutumbuliwa, kuhofia kutumbuliwa, kuhangaika kutafuta shule za ada rahisi bila majirani kujua, kubaki na kiporo cha kodi, ku cancel michepuko kwa kusingizia ku spend time na familia.Kama ilivyo kawaida ya viongozi wa nchi kote duniani. Viongozi hao Hutuma salamu za Krismasi kwa wananchi wao wenye imani ya Kikristo.
Nini kilichomfanya rais kutoona UMUHIMU kuwatakia watanzania Krismasi njema?
Basi ni nani na ana FANYA NINI MSHAURI wake katika mambo ya ITIFAKI?????izo zilikuwa salamu kwa ajili ya clouds media
siyo kwa watanzania
Ni kwa sababu NCHI haina STATE RELIGION/HAINA DINI.Nyie nae mmezidi ni wapi katiba inamtaka atume salam za kristmas kwa wanchi? Acheni upoyoyo
KUINAMIA sanamu na kubusu.Ukisikia wazimu ndiyo huu.
Nashukuru kwa mchango wako lakini jambo hili ni KUBWA zaidi unavyofikiria wewe!Kwan ukitumiwa salamu kuna chochote kitaongezeka ama kupungua mfukon mwako? Nchi haiendeshwi kwa mawazo yako yaani kila sikukuu ya kidini kazi ya raisi iwe kutuma salamu tu?. Anyway leo amesali Singida je ulihudhuria misa hiyo ukaona hakutoa salamu pale alipopewa nafasi ya kuwasalimu waamini wenzake?