Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,780
Acha kuwapendelea ccm eti ni 20% ya wa tz. ccm ni 0.5%Kwanini anatuma salaam kama mwenyekiti wa chama cha siasa kinachowakilisha asilimia 20 tu ya watanzania badala ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania anayewakilisha wananchi wote over and beyond partisan politics?
Hakika huku ni kupatwa kwa taifa.