Mmmmh,wewe utakuwa mmojawapo wa wale askari wa mnyika mliotimuliwa bungeni kwa kuzidisha ustaarabuyupo na walinzi wake tupo
ndugai ametudharau sanaMmmmh,wewe utakuwa mmojawapo wa wale askari wa mnyika mliotimuliwa bungeni kwa kuzidisha ustaarabu
ipi hiyo?Yupo ana kafake ID!
Rais ni TaasisiSerikali imekuwa ikihubiri kuhusu kutumia vitu vya nyumbani kwanza, sasa iweje yeye kama Rais anaenda kutumia Twitter na kuacha jamiiforums. Yote hii ni mitandao ya kijamii na changamoto zake zinafanana sana. Rais angeiunga mkono JF ingeweza kukua sana kwa watu wengi kujiunga.
Kwa kusema tuache kukimbilia bidhaa za nje naomba Rais na baraza lake waonyeshe mfano kwa kuanza kujiunga jamiiforums. Karibu sana mheshimiwa John Pombe Magufuli.
HahahahaaaaaaaKwani yeye ni Great Thinker?
Unajuaje kwamba hayupo ilhali humu wengi tunatumia majina feki?Serikali imekuwa ikihubiri kuhusu kutumia vitu vya nyumbani kwanza, sasa iweje yeye kama Rais anaenda kutumia Twitter na kuacha jamiiforums. Yote hii ni mitandao ya kijamii na changamoto zake zinafanana sana. Rais angeiunga mkono JF ingeweza kukua sana kwa watu wengi kujiunga.
Kwa kusema tuache kukimbilia bidhaa za nje naomba Rais na baraza lake waonyeshe mfano kwa kuanza kujiunga jamiiforums. Karibu sana mheshimiwa John Pombe Magufuli.
YUpo humu alijiunga 1/8/2007.
Anatumia ID yenye jina la CHIKIRA MTABARI

hahahahahaah, habari za asubuhi ndugu yangu?
Kwahiyo unaweza mfanyia ziara ya KUSHITUKIZA pmAngekuwa hayupo JF, asnge omba malaika washuke wafunge mitandao, yupo na anayaona yote, hata mimi mume wangu hajui kama nipo yeye huwa ananisomea comment iliyo mfurahisha kumbe nami nimeiona..
Haahaahaaa, siwezi fanya hivyo, sitaki kujipa mashaka, namuamini sitaki kumchunguza, inatosha.Kwahiyo unaweza mfanyia ziara ya KUSHITUKIZA pm