Kwanini Rais hajiungi JamiiForums?

Kwanini Rais hajiungi JamiiForums?

kahamia kwenye fake ID anavyopenda social networks
 
Serikali imekuwa ikihubiri kuhusu kutumia vitu vya nyumbani kwanza, sasa iweje yeye kama Rais anaenda kutumia Twitter na kuacha jamiiforums. Yote hii ni mitandao ya kijamii na changamoto zake zinafanana sana. Rais angeiunga mkono JF ingeweza kukua sana kwa watu wengi kujiunga.

Kwa kusema tuache kukimbilia bidhaa za nje naomba Rais na baraza lake waonyeshe mfano kwa kuanza kujiunga jamiiforums. Karibu sana mheshimiwa John Pombe Magufuli.

Mbona 24/7 tunakesha nae humu Mkuu?
 
Serikali imekuwa ikihubiri kuhusu kutumia vitu vya nyumbani kwanza, sasa iweje yeye kama Rais anaenda kutumia Twitter na kuacha jamiiforums. Yote hii ni mitandao ya kijamii na changamoto zake zinafanana sana. Rais angeiunga mkono JF ingeweza kukua sana kwa watu wengi kujiunga.

Kwa kusema tuache kukimbilia bidhaa za nje naomba Rais na baraza lake waonyeshe mfano kwa kuanza kujiunga jamiiforums. Karibu sana mheshimiwa John Pombe Magufuli.

rais amekuuliza una uhakika na post yako? msome post ya tatu
 
Angekuwa hayupo JF, asnge omba malaika washuke wafunge mitandao, yupo na anayaona yote, hata mimi mume wangu hajui kama nipo yeye huwa ananisomea comment iliyo mfurahisha kumbe nami nimeiona..
Wewe si mtu wa mchezomchezo
 
Du!!! Bora asiwemo tu, maana Kuna njemba zimepinda humu balaa...
Ila Modi waziri mkuu wa India sio tu ni bingwa wa social media huwa hadi anawapigia members simu mfano JF kungekuwa na option ya voice call kama Google hangout...
Aliwahi aliwahi kuwacall kupitia Google hangout raia wa kawaida kabisa wakapiga na stori...
 
Angekuwa hayupo JF, asnge omba malaika washuke wafunge mitandao, yupo na anayaona yote, hata mimi mume wangu hajui kama nipo yeye huwa ananisomea comment iliyo mfurahisha kumbe nami nimeiona..

Ahaaaaaa!!!! Kumbe huwa unanichora tu.
 
Back
Top Bottom