ModernSniper
Senior Member
- Jan 3, 2015
- 152
- 47
Nguvu mnazotumia hapa mngejikita kufanya kazi basi Taifa lingepiga hatua..
Mniombee
umenichekesha sana mkuu,Nguvu mnazotumia hapa mngejikita kufanya kazi basi Taifa lingepiga hatua..
Mniombee
umenichekesha sana mkuu,Yasijempata ya Trump na tweet yake kwa Snoop Dogg!
Labda anaogopa direct personal attack. (tit ... 4tat, that's how we do online!)
Bora kimya maana thread zake nyingine zingesababisha nivunje PC yangu kwa temper.

Yupo JF na wasaidizi wake kwa saa 24 wapo JF wakisima kila kitu neno kwa neno anaijua JF kuliko mitandao wowoteSerikali imekuwa ikihubiri kuhusu kutumia vitu vya nyumbani kwanza, sasa iweje yeye kama Rais anaenda kutumia Twitter na kuacha jamiiforums. Yote hii ni mitandao ya kijamii na changamoto zake zinafanana sana. Rais angeiunga mkono JF ingeweza kukua sana kwa watu wengi kujiunga.
Kwa kusema tuache kukimbilia bidhaa za nje naomba Rais na baraza lake waonyeshe mfano kwa kuanza kujiunga jamiiforums. Karibu sana mheshimiwa John Pombe Magufuli.
Magufuli yupo pia Daud Bashite mda wote anapita humu huku msaidizi wa Bashite yaani Le mutuz akikesha kumpelekea kila kitu.Mbona nimo humu,enhee!! mnasemaje sasa niwasaidie nini??!
Chunga usikute yupo ametulia tuSerikali imekuwa ikihubiri kuhusu kutumia vitu vya nyumbani kwanza, sasa iweje yeye kama Rais anaenda kutumia Twitter na kuacha jamiiforums. Yote hii ni mitandao ya kijamii na changamoto zake zinafanana sana. Rais angeiunga mkono JF ingeweza kukua sana kwa watu wengi kujiunga.
Kwa kusema tuache kukimbilia bidhaa za nje naomba Rais na baraza lake waonyeshe mfano kwa kuanza kujiunga jamiiforums. Karibu sana mheshimiwa John Pombe Magufuli.