mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,169
Endelea kuabudu sanamu kuombea wafu, kumwachia padre ajinonze mvinyo mwenyewe , kumtumaini Bikira Maria ataenda kukuombea na midhambi yako, kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe endelea kuabudu rozari nimezunguka ndani ya Biblia sijaona bado leta mistari labda sikuionaKama sio uhasi wa Luther uenda haya makanisa ya wapiga dili na ibada za kutoa mapepo yasingekuwep.. Ok, yeye alijitoa kanisa Katoliki, mbona na yeye anapingwa na jamii ya walokole?