Kwanini Pacome haitwi tena kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast?

Kwanini Pacome haitwi tena kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ivory Coast?

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Kuna watu wamempigia chapuo huyu Pacome, mara sijui anastahili uMVP mara hivi, cha kushangaza huyu jamaa aliitwa timu ya taifa kwa mara ya kwanza katika mazingira ya kutatanisha akiwa majeruhi baada ya hapo kwishnehi, hatusikii tena hizo habari.

Ametoka katika msimu ambao mashabiki maandazi wamempigia kampeni ya UMVP ila taifa lake wala halimuwazii.

Wengine mapema sana tuliwahi kusema kuna viashiria vya matumizi ya madawa ya kusisimua misuli.
 
Taifa lake Lina ushindani mkubwa,wachezaji wenye kiwango kama chake ni wengi,na wengi wao wanachezea timu za ulaya,wenzetu wameendelea ,wanakuza vipaji vingi kwenye academy zao,tangu wakiwa watoto vipaji vinakuzwa.sio kama uko kina mzize wanatokea kwenye boda boda.ila kama angetokea uko mzize saivi angekua anachezea ta madrid
 
nchi ina utitiri wa wachezaji wanaocheza klabu kubwa timu za ulaya, ni ngumu kupenya
 
Kuna watu wamempigia chapuo huyu Pacome, mara sijui anastahili uMVP mara hivi, cha kushangaza huyu jamaa aliitwa timu ya taifa kwa mara ya kwanza katika mazingira ya kutatanisha akiwa majeruhi baada ya hapo kwishnehi, hatusikii tena hizo habari.

Ametoka katika msimu ambao mashabiki maandazi wamempigia kampeni ya UMVP ila taifa lake wala halimuwazii.

Wengine mapema sana tuliwahi kusema kuna viashiria vya matumizi ya madawa ya kusisimua misuli.
Wewe jamaa umeanza tabia kama za Popoma! Yaani unauliza vitu ambavyo havina tija!
1. Kwani lazima aitwe kucheza timu ya Taifa?
2. Ivory Coast ina wachezaji wangapi wenye sifa ya kuitwa kwenye timu ya Taifa?
3. Una ushahidi wa hayo madai yako?
 
Kuna watu wamempigia chapuo huyu Pacome, mara sijui anastahili uMVP mara hivi, cha kushangaza huyu jamaa aliitwa timu ya taifa kwa mara ya kwanza katika mazingira ya kutatanisha akiwa majeruhi baada ya hapo kwishnehi, hatusikii tena hizo habari.

Ametoka katika msimu ambao mashabiki maandazi wamempigia kampeni ya UMVP ila taifa lake wala halimuwazii.

Wengine mapema sana tuliwahi kusema kuna viashiria vya matumizi ya madawa ya kusisimua misuli.
Juzi nilimuona Mpanzu akichezea timu ya taifa ya Congo.
 
Taifa lake Lina ushindani mkubwa,wachezaji wenye kiwango kama chake ni wengi,na wengi wao wanachezea timu za ulaya,wenzetu wameendelea ,wanakuza vipaji vingi kwenye academy zao,tangu wakiwa watoto vipaji vinakuzwa.sio kama uko kina mzize wanatokea kwenye boda boda.ila kama angetokea uko mzize saivi angekua anachezea ta madrid
Eti wanatokea kwenye bodaboda da!🤣
 
Kupenya timu ya taifa ivory coast kwa kutokea ligi ya bongo sio mchezo. Hata hiyo mara moja apongezwe.

Huenda hiyo mara ya kwanza jamaa walimuita ili kuzuia wasimpoteze endapo akiitwa na timu ya taifa nyingine. Maana kwa sheria za FIFA mchezaji aruhusiwi kuchezea mataifa mawili.

Sema wamembania mwamba wasingemuita ile mara ya kwanza huyu tungempa uraia acheze taifa staz
 
Kupenya timu ya taifa ivory coast kwa kutokea ligi ya bongo sio mchezo. Hata hiyo mara moja apongezwe.

Huenda hiyo mara ya kwanza jamaa walimuita ili kuzuia wasimpoteze endapo akiitwa na timu ya taifa nyingine. Maana kwa sheria za FIFA mchezaji aruhusiwi kuchezea mataifa mawili.

Sema wamembania mwamba wasingemuita ile mara ya kwanza huyu tungempa uraia acheze taifa staz
Sheria ya FIFA inataka mchezaji acheze siyo kuitwa tu.
 
Sheria ya FIFA inataka mchezaji acheze siyo kuitwa tu.
Ukijumuishwa tu kwenye mechi ya mashindano imeisha hiyo hata kama ukikaa benchi. Labda uitwe kwenye friend game hapo ndio unaweza kucheza kubadilisha timu ya taifa
 
Sidhani kama uko sahihi
Pacome alivyoitwa ivory coast kama alijumuishwa kwenye kikosi siku ya mechi basi hawezi kuchezea taifa jingine hata kama alikua sub ambayo haikutumika. Labda kama ile mechi ilikua ya kirafiki
 
Kuna watu wamempigia chapuo huyu Pacome, mara sijui anastahili uMVP mara hivi, cha kushangaza huyu jamaa aliitwa timu ya taifa kwa mara ya kwanza katika mazingira ya kutatanisha akiwa majeruhi baada ya hapo kwishnehi, hatusikii tena hizo habari.

Ametoka katika msimu ambao mashabiki maandazi wamempigia kampeni ya UMVP ila taifa lake wala halimuwazii.

Wengine mapema sana tuliwahi kusema kuna viashiria vya matumizi ya madawa ya kusisimua misuli.
Falsafa/mfumo wa kocha ndio unachagua aina ya wachezaji hiyo ni ngazi ya chini kabisa ya kuelewa mpira
 
Back
Top Bottom