ISHIBOBO
Senior Member
- Sep 30, 2015
- 145
- 57
[emoji12] power MbulumunduSitosahau siku niliyomuua nyati kwa mikono yangu.....
[emoji12] power MbulumunduSitosahau siku niliyomuua nyati kwa mikono yangu.....
Preta hakuna tofauti ni kama sehemu za siri za kiume na dushelele ni kitu kimojaPreta Nyati ndio mbogo ni sawa na kusema Tembo na Ndovu
KkkkkkkkkkkkKwanza tujue.......
Tunamzungumzia nyati au mbogo......?......maana kuna tofauti hapa.......
Siku hizi sipendi posting zako maana umeacha fixmkuu CLEVERKING za mwaka jana bosiii, mi nimerudi nilisafiri nje ya nchi kidogo ila nimerudiiii MZEE WA MIKUMI, AM BACK
Wanyama wengine huwa wanatabia ya kula vilivyobakishwa na wengine ila simba utaribu huo hana huwa anapenda nyama iliyofresh,sijajua kwa nini ila ndiyo alivyo
Nimekwambia hata akila afya yake haiwi kama akitumia nyama fresh na si mlaji sana wa makombo
Mhh! Tofauti yake nini?Kwanza tujue.......
Tunamzungumzia nyati au mbogo......?......maana kuna tofauti hapa.......
Wewe hutumii akili