abour
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 735
- 311
Kwenye sayansi ya viumbe kuna majina ya asili na yakisayansi,.
Hayo ya asili(indiginous) huwa yako mengi kulingana na makabila na mahali kiumbe anapatikana.ila yakisayansi huwa ni moja tu.
Nimejaribu kukumbuka classification ya biology sjui kama nimo ndani:-!
Hayo ya asili(indiginous) huwa yako mengi kulingana na makabila na mahali kiumbe anapatikana.ila yakisayansi huwa ni moja tu.
Nimejaribu kukumbuka classification ya biology sjui kama nimo ndani:-!