Kwanini ni ngumu kusikia Mwanamke akisema “Mume wangu“?

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,409
8,908
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke akisema Mume wangu hivi na vile au labda akitambulisha huyu ni Mume wangu, wengi akienda mbali sana atasema baba fulani akimaanisha mume wake sasa ni kwa nini?

Je ni culture yetu au Wanawake hawajiamini kiasi cha kuweza kutamka hilo neno“ Mume“ mbele ya Mume wake?
 
Ukiona huitwi mume wangu huko duniani ujue una matatizo.

Mwanamke yeyote aliyeproud na mwanaume wake haachi kujidai mbele za watu kuonyesha ni mke wa mtu.
Sasa kama unamuudhi na kumkera unafikiri itaita mume wangu,utaishia kuitwa baba fulani mpaka kiama.
Hakuna mwanamke asiyependa kuwa na mume wakujidai nae sema tu ndio hivo tunavumiliana.
 
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke akisema Mume wangu hivi na vile au labda akitambulisha huyu ni Mume wangu, wengi akienda mbali sana atasema baba fulani akimaanisha mume wake sasa ni kwa nini ?
Je ni culture yetu au Wanawake hawajiamini kiasi cha kuweza kutamka hilo neno“ Mume“ mbele ya Mume wake ?
Wanatafuta usawa, wakiita "mume" wanajiona wamejishusha, wanaita baba fulani ili nawao waitwe mama fulani Ili waonekane wana hadhi sawa na waume zao.
 
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke akisema Mume wangu hivi na vile au labda akitambulisha huyu ni Mume wangu, wengi akienda mbali sana atasema baba fulani akimaanisha mume wake sasa ni kwa nini ?
Je ni culture yetu au Wanawake hawajiamini kiasi cha kuweza kutamka hilo neno“ Mume“ mbele ya Mume wake ?

Ni Wakwako Ndugu, wetu wanasema kutwa Mara 10, hata Kwenye mgegedo wanasema "Me wangu ndo wewe tu Na sijuto kuolewa Na wewe"
 
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke akisema Mume wangu hivi na vile au labda akitambulisha huyu ni Mume wangu, wengi akienda mbali sana atasema baba fulani akimaanisha mume wake sasa ni kwa nini ?
Je ni culture yetu au Wanawake hawajiamini kiasi cha kuweza kutamka hilo neno“ Mume“ mbele ya Mume wake ?


Baba fulani au Baba watoto ndio yenye nguvu na hadhi kuliko mume, hata Mwanamke akiitwa Mama fulani hujisikia raha kuliko kuitwa Mke wangu.
 
Back
Top Bottom