Kwanini ni ngumu kusikia Mwanamke akisema “Mume wangu“?

Tatizo wanaume mmejiwek ni wa wanawake wote( community husband)

Hivyo ni ngumu mwanamke kujidai mbele za watu kuwa ni mume wangu

Sana sana tutaishia kuwaita 'mume' tu.

Hyo wangu hapana, Mpk pale mtakapojirekebisha
 
Ni Wakwako Ndugu, wetu wanasema kutwa Mara 10, hata Kwenye mgegedo wanasema "Me wangu ndo wewe tu Na sijuto kuolewa Na wewe"
weye pata bichwa tu...iko siku utapotea kwa hiari....na hutorudi mazima....unajichekesha hapo... unaona umepatiaaaa...kuumbe Hamis mpemba muuza genge ndo anakula hapo.weye huku unapambwa......jitahidi uwe kauzu...mchunguze usije lea mitoto wewe ya watu!!! Usilee kifo!
 
Kwani nani hajui kati yetu ni mke au ni mume sisi tunaitana majina yetu na ni poa tuna umli Wa kuwa pamoja miaka 37.
 
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke akisema Mume wangu hivi na vile au labda akitambulisha huyu ni Mume wangu, wengi akienda mbali sana atasema baba fulani akimaanisha mume wake sasa ni kwa nini?

Je ni culture yetu au Wanawake hawajiamini kiasi cha kuweza kutamka hilo neno“ Mume“ mbele ya Mume wake?
mbona me bado ata sijamuowa yan nidem wngtu lakin ananiita mume wng??
 
Mpige matukio lazima ataje tu. Sasa wewe unakuwa na maisha yaliyonyooka atakuoa kaka yake. Ukishindwa hivo mpe hela
 
Binafsi nimekuwa nikijiuliza sana hili swali, ni kawaida sana kwa Mwanaume kusema Mke wangu hivi na vile, au hata kutambulisha huyu ni Mke wangu lkn kinyume chake ni nadra sana kusikia Mwanamke akisema Mume wangu hivi na vile au labda akitambulisha huyu ni Mume wangu, wengi akienda mbali sana atasema baba fulani akimaanisha mume wake sasa ni kwa nini?

Je ni culture yetu au Wanawake hawajiamini kiasi cha kuweza kutamka hilo neno“ Mume“ mbele ya Mume wake?
Kuna anayemwita jina la mahaba na wewe ni fala uliyejipendekeza kwa mahari na kwa sasa anakuombea ufe aponde maisha
 
Back
Top Bottom