Kwanini ngono ni dhambi?

Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?

Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?

Tujadili kama great thinkers wadau!

Kama unataka kujua kama ni dhambi hau si dhambi pata taarifa kuwa mkeo/mumeo au mpenzi wako anafanya hiyo kitu na mtu mwingine huo utafiti tu unatosha.
 
Kama kweli ingekuwa dhambi basi watoto wa nje wasingalizaliwa na tena kwa nini hufanikiwa sana kulinganisha na wa ndani ya ndoa?
 
Hapo red hili ni swali gumu sana. Kwanini alikataza hilo swali alipaswa aulizwe mwenyewe. Huku ni kuingilia uhuru wa kimahakama ya Mungu.

Baada ya hapo tutajiuliza kwanini Mungu alikataza watu kulana tigo? Je kulana denda ni halali?? Je kunyonyana vikojoleo (kwa wanandoa) ni halali/haramu? Mungu alikataza wapi???

Huyu Mungu tumwache tu aendelee kuitwa Mungu.


. Hapa ndo uwa napata hofu na usemi wa Mungu anajua ya jana ya kesho na yajayo....kakataza ngono na kulana tigo....ila sijui ilikuwaje alisahau kuwa wanadamu watundu....sasa hivi wanakulana mpaka wananyonyana vikojoleo na kula samadi.....vipi inakuwaje?
 
Mkuu kweli mm naungana na we kuwa ni dhambi tuombe mwenyezi mungu aturehemu katika hili na tutubu dhambi zetu kila Mara ili tuweze kusamahewa tena kwa kipindi hiki kigumu sana
 
Swali linaliza kwann Mungu alikataza.
Jibu ni, alikataza kwa faida yako.

Kwani hujawai kusikia mauwaji ya kikatili yanayohusishwa na wivu wa kimapenzi.

Mungu uliemtaja ndie aliekataza na kuweka sheria ya kupigwa viboko mia kama haujaoa/olewa au kupigwa mawe mpaka ufe kama umeolewa.nukta moja wala yodi moja ya sheria hii haitaondoka hata kama mbingu na nchi zitoweke.

Hizo sharia za viboko ziliwekwa na Mungu? na wayahudi?
 
Kama kweli ingekuwa dhambi basi watoto wa nje wasingalizaliwa na tena kwa nini hufanikiwa sana kulinganisha na wa ndani ya ndoa?

Mwenyezi Mungu humpandisha cheo amtake na kumshusha amtake,
Swala la mtu kufanikiwa ni la mwenyez Mungu, haijalish km mtoto wa haramu au wa halali.
 
Mungu kishasema tusifanye zinaa, kwan zinaa ni uchafu.
Ukishakua mfanya zinaa hata imani yako inakua hafifu, maana vitabu vyote vya dini vinakataza hiyo kitu. Na madhara ni mengi tu wakuu waliotangulia wameeleza.
 
Mpaka hapa hakuna alieweza kujibu Hata mimi huwa najiuliza lkn bado sijapat majibu halisi...Ingawa kwa haraka naweza kusema ngono unahusianisha na mambo ya maagano....ya Damu nami naendelea kuuliza kwa wataalam manake hii ni issue ya Spiritual.... zaidi....
 
Basi tukubaliane, Mungu pekee ndie anaejua kwann kakataza

Mungu amesema usizini maana yake ni kufanya ngono pasipo maagano au kujamiana pasipo maagano na yeye,endapo utafata taratibu za utukufu wake ya kwamba mpaka umpate mmoja tu ,ufunge naye ndoa na ukae naye mpaka kufa hapo unaruhusiwa na hapo ndo watu wawili kushare miili yao kuwa kitu kimoja kuleta kizazi kijacho ni tendo sensitive sana ndo maana malaika hawafanyi
 
Mungu amesema usizini maana yake ni kufanya ngono pasipo maagano au kujamiana pasipo maagano na yeye,endapo utafata taratibu za utukufu wake ya kwamba mpaka umpate mmoja tu ,ufunge naye ndoa na ukae naye mpaka kufa hapo unaruhusiwa na hapo ndo watu wawili kushare miili yao kuwa kitu kimoja kuleta kizazi kijacho ni tendo sensitive sana ndo maana malaika hawafanyi

Vipi kuhusu wenye wake wanne?(hapo kwenye mwil mmoja)
 
Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?

Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?

Tujadili kama great thinkers wadau!

hebu fikiria pasingekua na katazo la zinaa,maana yake mwanamke mmoja ingekua ruksa leo unapiga wewe,kesho mwenzio,keshokutwa anapiga mwingine,akipata ujauzito huyo mtoto atakua wa nani? Nani atakubali kubeba majukumu ya kibaba kwa mtoto asie nd uhakika nae? Mtoto huyo maisha yake yatakuwaje bila baba mwenye majukumu? Bila ndoa hakuna nasaba,hakuna utambulisho,ni kama mbuzi na ng'ombe tu,binadam hapaswi kuishi kama mnyama
 
Back
Top Bottom