Kwanini ngono ni dhambi?

Kwanini ngono ni dhambi?

Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?

Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?

Tujadili kama great thinkers wadau!

Swali linaliza kwann Mungu alikataza.
Jibu ni, alikataza kwa faida yako.

Kwani hujawai kusikia mauwaji ya kikatili yanayohusishwa na wivu wa kimapenzi.

Mungu uliemtaja ndie aliekataza na kuweka sheria ya kupigwa viboko mia kama haujaoa/olewa au kupigwa mawe mpaka ufe kama umeolewa.nukta moja wala yodi moja ya sheria hii haitaondoka hata kama mbingu na nchi zitoweke.
 
Msingi wa uumbaji uko hapo. Ngono ni kitendo kinachounganisha ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho moja kwa moja na nidhahili hatari zake zimefichwa kwenye ulimwengu wa roho tusioujua. Unaweza kuta unaruhusu au kutos mazingira mazuri kwa maadui wa Mungu kupata safe haven ya kujinafasi na mengine mengi
 
Hapo mtaongea mengi lakin hakuna atakayeweza kutoa jibu sahihi
 
Ingehalalishwa hebu imagine hali ingekuwaje huko mitaani kwetu...c kudandia kila sketi inayopita!!

kwani ila katazo limesaidia chochote!? mi nafikiri isingekatazwa ingekuwa kawaida tu!! Btw ngono yenye makubaliano ya wawili bila kukera wengine haiwezi kuwa dhambi!!
 
Kwa sababu ni dhambi na sio dhambi tu bali inahusisha mwili wako, dhambi nyingine utazifanya out of your body lakini si kwa case ya ngono, kama unavyojua kwa sisi wakristo mwili ni hekalu, unapofanya zinaa unafungua milango mingi sana kiroho bila kujua

Kwann ikawa ni dhambi? N nini hasa kilicholifanya hili tendo liwe n dhambi?ama kwa lugha nyingne huo udhambi ulioko katika hili tendo n upi
 
Hivi ni wapi Mungu aliwaambia wanadamu hiki ni dhambi na hiki si dhambi?

Au ni wachache wanaojipa mamlaka za ku-judge wengine?
 
Ngono ni dhambi kwakuwa madhara yanayotokana nayo ni mabaya sana.Ngono inaweza usababisha watoto wasio na baba au mama,watoto kushika mimba wakiwa hawana uwezo wa kutunza watoto wao,vifo kutokana na kuzaa chini ya umri,kutoa mimba,kutupwa watoto,magonjwa ya zinaa,fumanzi ambapo wengine huuwawa,kutiwa vilema nk nk nk,Kwahiyo Mungu sio kwamba alikataza tendo la ndoa akijua kuwa binadamu atafaidi sana bali madhara yake ni mabaya sana na hii inahusisha dhambi zote,chochote kinachoitwa dhambi kina madhara mabaya kwa binadamu.
 
Kwann ikawa ni dhambi? N nini hasa kilicholifanya hili tendo liwe n dhambi?ama kwa lugha nyingne huo udhambi ulioko katika hili tendo n upi

Inakuwa dhambi sababu inakusababishia uchafu wa miwili na wa roho pia otherwise ni kitendo kizuri sana kupractise
 
nini tofauti yake katika ufanyaji?
NGONO INA WIVU ndani yake
ni nguruwe tu ndio hana wivu hata asikie Bibie anabanduliwa hapo pembeni yeye halimhusu
wanyama wengine wote hata mbwa ni lazima zitapigwa atakayeshinda ndio atazawaduwa
Binadamu tu ukijifanya kijogoo umbandue wa kwanza , wa pili wenzako wananyamaza wa tatu km ni wanajeshi iwe msituni watakuwasha,
Ngono ni tendo la SIRI na la kificho ndio maana tukaambiwa OENI na kila mtu awe na mtuwe
zaidi ya hapo ni kutafuta kifo
 
Ngono si dhambi. Ni tendo la kawaida kwa mwili wa binadamu kama ilivyo kwenda haja, kula chakula kulia n.k... Ni dhambi kama unaamini maneno ya mchungaji wako anayekuambia usifanye wakati yeye anakula bata na wanakwaya.
 
Mechanism ya huo uchafu waweza ielezea mkuu?

unaposema mkeo
unaunganisha na kauli ya mchungaji
madhabahuni kuwa mmekuwa mwili mmoja
hivyo haiathiri innei body zenu, ni tofauti na
mtu uliyekutana naye barabarani hapo kila
mtu ana roho yake na hivyo ukimuingilia
kiroho kuna uwezekano wa kutoka na maroho
mengine ya ajabu kulingana na mtu husika,
 
unaposema mkeo
unaunganisha na kauli ya mchungaji
madhabahuni kuwa mmekuwa mwili mmoja
hivyo haiathiri innei body zenu, ni tofauti na
mtu uliyekutana naye barabarani hapo kila
mtu ana roho yake na hivyo ukimuingilia
kiroho kuna uwezekano wa kutoka na maroho
mengine ya ajabu kulingana na mtu husika,

Na mwenye wake watatu wanne je? Hiyo dhana ya mwili Mmoja hapa inafanyaje kaz? Au hii Inakuwa "network "
 
Ukitaka jibu lazima ujiulize dhambi ni nini. Kifupi dhambi ni kumfanyia mwenzio kitu au jambo baya kwa makusudi. Jambo ambalo wewe ungefanyiwa usingefurahi. HII NDIO MAANA YA DHAMBI.

Sasa jiulize ngono kama ngono itakuwaje dhambi? Wala sio dhambi. Dhambi ni pale unapoifanya ikamuumiza mwingine. Ukitembea na mke wa mtu kwa mfano unamuumuza mumewe.

BTW ngono ni tendo la kiroho na ni takatifu. Fanyeni ngono kwa wapenzi wenu alimradi msimuumize mwingine.
 
Ni ajabu tulivyo maana kwa hakika hata tukisema kwa vinywa vyetu kwamba hii ni sahihi au siyo sahihi utu wetu wa ndani unatushitaki. Nilitaka kufikiri kuwa tendo la ngono linapofanywa kwa mke au kwa mwanamke mwingine ni sawa, lakini baba aliyekuwa ndotoni na mke wake akapiga kelele mume wangu amekuja, aliruka dirishani na kuvunjika mkono, baadaye akakumbuka kuwa yeye ndiye mume na ilikuwa halali kwake na hakupaswa kukimbia.
 
Back
Top Bottom