Makatazo hayo ni kwa ajili ya kuleta Amani duniani,hebu fikiria umemuona msichana mrembo mkawa wapenzi ,akatokea jamaa akawa anamzengea ...... and so on, utajisikiaje ?
Ndoa ilianzaje? Aliianzisha nani? Mbona jamii karibia zote duniani zina huu utaratibu? Je waliigana kwenye suala la ndoa au walijikuta wanapractice ndoa kila mmoja kwa wakati wake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.