kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
- Thread starter
- #21
Kama ukibahatika kwenda Dodoma leo na kuwaona na kuwasikilizaAlipima vipaumbele vya muhimu zaidi kuliko kuhamia Dodoma. Ishu ya Dodoma ni sawa Na MTU mwenye nyumba moja yenye kila kitu anaamua kujenga nyumba nyingine the same ya kuishi hali angeweza kuwekeza kwenye vipaumbele vingine.
Asili ya wazo la Dodoma nyerere alilicopy toka Kwa wakoloni ambao wao key point waliona kiutawala ni center sababu ya dunia ya zamani ambayo ilikuwa imejifunga.
Kwa ulimwengu wa sasa uliofunguka ni matumizi mabaya ya kodi zetu kuhamia Dodoma badala ya fedha zile kuwekezwa kwenye kutatua tatizo kuu LA ajira ambalo ni Bomu kubwa kwa awamu hii ya kuzalisha umasikini nchini ijiandae nalo sababu yenyewe ndio imelitengeneza kimakusudi ya kuwataka watu Waishi kishetani.
Ukiwaona na kuwasikiliza wafanyakazi waliohamia Dodoma unaweza kutoa machozi bila idadi.Hata aliehamia dodoma bado yupo dar, nani atahama dar akakae porini.