kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
Wazo la kuhamahamishia serikali Dodoma lilikuwa la Mwl. Nyerere wakati ya awamu ya kwanza. Lakini hata baada ya kuliongoza taifa kwa muda mrefu alishindwa kuitekeleza mdoto yake ya kuhamia Dodoma.
Ndoto ya kuhamia Dodoma pia haikutimia kwenye awamu zingine 3 (miaka 30) zilizofuata na ikatekelezwa awamu hii ya tano?
Swali ni ni nini kilisababisha mwalimu asiweze kuitekeleza Ndoto yake mwenyewe ya kuhamia Dodoma?
Hebu tukumbushane hapo.
Ndoto ya kuhamia Dodoma pia haikutimia kwenye awamu zingine 3 (miaka 30) zilizofuata na ikatekelezwa awamu hii ya tano?
Swali ni ni nini kilisababisha mwalimu asiweze kuitekeleza Ndoto yake mwenyewe ya kuhamia Dodoma?
Hebu tukumbushane hapo.