Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Kaogopa labda ni rahisi mwingine kujitangazia ikulu ya dar ushind.Hata aliyeamrisha kashindwa kuondoka Dar.
Kuagiza wengine ni rahisi sana,
Mipango yake ni migumu sana kutimia
Jappo ni rahisi kutamkwa.Mwaka wa Tano sgr hata Moro haijafika