ho chi minh
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 32,904
- 163,070
Niitie kijana muuza kashata nimalizie kahawa yangu.
Huyo hakusomaUtakuwa umesoma na Stivu Nyiriri wa Bongomavi
Hahahaha, Mola tuhurumie, uwiiinyerere nimesoma nae alikuwaga na maneno machafu ndyo maana alipigwa
Duh! Asante!Kulikuwa na tishio la bunduki,lakini ilikuja kujulikana kuwa ilikuwa ni false alarm
Tena uwezo wake ulikuwa wa kawaida sanaHahahaha, Mola tuhurumie, uwiii
HahahahaNgojeni nimalize kuongea na bibi yenu hapa,ntawasimulia ilikuwaje.
Aliburuza Africa nzima jamaa! Spirit yake siyo ya kawaida kabisa!Tena uwezo wake ulikuwa wa kawaida sana
Ndyo maana akaishia ualimuSana!
Aliburuza Africa nzima jamaa! Spirit yake siyo ya kawaida kabisa!
Rejea kichwa cha uzi, karibuni mtueleze sisi kizazi cha leo, ni nini kilisababisha mlinzi wa Mwl Nyerere kumpiga mtama Mwl Nyerere nje ya Kanisa la St Peters?
Na kwanini tukio hili halizungumzwi sana miongoni mwa Watanzania wengi?
Kwanini wewe umeuliza hilo Leo nasijana wala Kesho Na kwanini maswali Hayo haukumuuliza hiyo aliyekuambia ili wewe uje utueleze unalolijua wewe . au ndio umetupa jiwe gizani. Tuambie unachokijua wewe maana yaonekana unachoRejea kichwa cha uzi, karibuni mtueleze sisi kizazi cha leo, ni nini kilisababisha mlinzi wa Mwl Nyerere kumpiga mtama Mwl Nyerere nje ya Kanisa la St Peters?
Na kwanini tukio hili halizungumzwi sana miongoni mwa Watanzania wengi?
Kwani unamfahamu mzee Sergio 5?wewe usome na Nyerere??? Labda mtoto wake
wewe uliyekuwepo siku ya tukio hukuuliza sababu ilikuwa niniRejea kichwa cha uzi, karibuni mtueleze sisi kizazi cha leo, ni nini kilisababisha mlinzi wa Mwl Nyerere kumpiga mtama Mwl Nyerere nje ya Kanisa la St Peters?
Na kwanini tukio hili halizungumzwi sana miongoni mwa Watanzania wengi?
Mtafute JF mohamed said anajua hizo historiaRejea kichwa cha uzi, karibuni mtueleze sisi kizazi cha leo, ni nini kilisababisha mlinzi wa Mwl Nyerere kumpiga mtama Mwl Nyerere nje ya Kanisa la St Peters?
Na kwanini tukio hili halizungumzwi sana miongoni mwa Watanzania wengi?