PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,514
Reaction score
6,070
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiongea na wahariri pamoja na waandishi wa habari, leo Jijini Dar es Salaam, amesema maandamano ambayo waandamanaji wanaenda na silaha (kuwa ‘full armed’) sio maandamano, huku akibainisha kuwa idadi kubwa ya walishiriki katika vurugu zile hawakuwa wakiongea lugha ya kiswahili

Waziri Mkuu amesema pia kuwa sababu ya Raisi kuunda tume ya uchunguzi wa vurugu za baada ya uchaguzi Mkuu ni kuhakikisha ukweli unafahamika.

Alitoa mfano wa askari mwenye Uraia wa Marekani na Kenya aliyekamatwa akiwa na mabomu mpakani mwa Kenya na Tanzania, akidai askari huyo alikuwa na silaha kwa ajili ya kujihami kutokana na taarifa potofu zilizozagaa kuhusu Tanzania kutokuwa salama.

.................................................................
Kwa nini mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

Je, mfano wa mwanajeshi waliomkamata mpakani huko siku kadhaa baada ya mauaji unahusiana vipi na matukio ya Oct 29? Kwamba huyo mwanajeshi alikuja kuandamana baada ya Oct 29?

MY TAKE
watanzania sio wajinga bhana, viongozi wa serikali wakubali kuwajibika , tujikung'ute tusonge mbele.
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiongea na wahariri pamoja na waandishi wa habari, leo Jijini Dar es Salaam, amesema maandamano ambayo waandamanaji wanaenda na silaha (kuwa ‘full armed’) sio maandamano, huku akibainisha kuwa idadi kubwa ya walishiriki katika vurugu zile hawakuwa wakiongea lugha ya kiswahili

Waziri Mkuu amesema pia kuwa sababu ya Raisi kuunda tume ya uchunguzi wa vurugu za baada ya uchaguzi Mkuu ni kuhakikisha ukweli unafahamika.

Alitoa mfano wa askari mwenye Uraia wa Marekani na Kenya aliyekamatwa akiwa na mabomu mpakani mwa Kenya na Tanzania, akidai askari huyo alikuwa na silaha kwa ajili ya kujihami kutokana na taarifa potofu zilizozagaa kuhusu Tanzania kutokuwa salama.

.................................................................
Kwa nini mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

Je, mfano wa mwanajeshi waliomkamata mpakani huko siku kadhaa baada ya mauaji unahusiana vipi na matukio ya Oct 29? Kwamba huyo mwanajeshi alikuja kuandamana baada ya Oct 29?

MY TAKE
watanzania sio wajinga bhana, viongozi wa serikali wakubali kuwajibika , tujikung'ute tusonge mbele.
Akiambiwa a prove hilo anaweza kimbia? Wwaandamanaji wapi hao wenye silaha
 
Akiambiwa a prove hilo anaweza kimbia? Wwaandamanaji wapi hao wenye silaha
Jamaa kashupalia tu maneno hayo, hapo anasema tusubiri report ya tume, kwa lugha nyepesi kuna maelekezo yametolewa na serikali kuwa tume iandike waandamanaji alikuwa na siraha, wanapaswa kujua upole na utulivu wa watanzania haukuwa ujinga, ila ni uvumilivu na subira kuona kama wangebadilika
 
Hapo kwenye Kenyans isikike kama Tanzanians , muda wao utafika tu wataeleza yote wakiwa mahali wasipopatarajia.
 
Watatunga kila uongo mwaka huu lakini hawatafanikiwa.

Watanganyika ndo sisi na hatukuona muandamanaji mwenye silaha.

Kuruka ruka kwa maharage ndiko kuiva kwake. Hawana pa kutokea wapumbavu hawa.
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiongea na wahariri pamoja na waandishi wa habari, leo Jijini Dar es Salaam, amesema maandamano ambayo waandamanaji wanaenda na silaha (kuwa ‘full armed’) sio maandamano, huku akibainisha kuwa idadi kubwa ya walishiriki katika vurugu zile hawakuwa wakiongea lugha ya kiswahili

Waziri Mkuu amesema pia kuwa sababu ya Raisi kuunda tume ya uchunguzi wa vurugu za baada ya uchaguzi Mkuu ni kuhakikisha ukweli unafahamika.

Alitoa mfano wa askari mwenye Uraia wa Marekani na Kenya aliyekamatwa akiwa na mabomu mpakani mwa Kenya na Tanzania, akidai askari huyo alikuwa na silaha kwa ajili ya kujihami kutokana na taarifa potofu zilizozagaa kuhusu Tanzania kutokuwa salama.

.................................................................
Kwa nini mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

Je, mfano wa mwanajeshi waliomkamata mpakani huko siku kadhaa baada ya mauaji unahusiana vipi na matukio ya Oct 29? Kwamba huyo mwanajeshi alikuja kuandamana baada ya Oct 29?

MY TAKE
watanzania sio wajinga bhana, viongozi wa serikali wakubali kuwajibika , tujikung'ute tusonge mbele.
Aweke hata video
 
Akiambiwa a prove hilo anaweza kimbia? Wwaandamanaji wapi hao wenye silaha
Video zipo hakuna aliebeba silaha zaidi ya wale wauaji waliokua wanawaua raia, Mwingulu mwambieni ajiangalie vizuri anazusha uzushi wake
 
Inamaanisha kuwa mipaka yetu ni dhaifu hadi raia wa kigeni wanaweza kujipenyeza hadi Dar bila uhamiaji, JWTZ na polisi kugundua lolote hadi watende madhara hayo?

Je, ni kwamba Mwigulu anakiri waziwazi hoja za kwenye mitandao kuwa kulikuwa na 'mercenaries' (askari wa kukodi) walioingua nchini kufanya mauaji ya raia na askari?

Maswali ni mengi. Nimuulize nani sasa?
 
Inamaanisha kuwa mipaka yetu ni dhaifu hadi raia wa kigeni wanaweza kujipenyeza hadi Dar bila uhamiaji, JWTZ na polisi kugundua lolote hadi watende madhara hayo?

Je, ni kwamba Mwigulu anakiri waziwazi hoja za kwenye mitandao kuwa kulikuwa na 'mercenaries' (askari wa kukodi) walioingua nchini kufanya mauaji ya raia na askari?

Maswali ni mengi. Nimuulize nani sasa?
Kuna hata mmoja waliemkamata??
Aweke ushahidi,zama za giza zimeshapita....
 
Yupo kwenye mkakati kubadilisha “Narrative”Lengo lake ni kufanya waliokuwa wanaandamana ndio walikuwa wauwaji na waharibifu wa rasilimali za Nnchi,ndio maana Mwigulu na CCM wote wanakazia hizo point,wale wauwaji wenye silaha hawaguswi wala kuongelewa,wakiwaongelea wanawafanya ni Wahanga,Polisi waliuliwa,Hawawezi kufanikiwa,kuna ushahidi wa kutosha
 
Wajiulize huko hao askari waliyokuja na hawakujuwa
Lugha ya kiswahili waliingiaje?nani aliwaingiza
Duh...kama serikali na viongozi,wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama hawajui basi ni hatari

Ova
 
Usalama wa mipaka yetu uko wapi?

Kama wageni waliweza kuingia nchini na kuua raia wakati na baada ya uchaguzi ni kwamba walijiandaa vyema, na hizo silaha waliingiaje nazo bila kukamatwa?

Uzuri watanzania wa sasa wanajua kuchanganua mambo sio wa kujibebea kila wanachoambiwa na watawala.
 
Je, ni kwamba Mwigulu anakiri waziwazi hoja za kwenye mitandao kuwa kulikuwa na 'mercenaries' (askari wa kukodi) walioingua nchini kufanya mauaji ya raia na askari?

Maswali ni mengi. Nimuulize nani sasa?
Akiulizwa hayo maswali anabaki kuumauma mdomo tu hakuna anachojibu zaidi ya kujing'atang'ata, mwambieni next time km hana majibu asiitishe press amwambie na Gerson Msigwa tumechoshwa na show zao za kizembe msimamo wetu ni uleule 9D na muda sio rafiki,
 
Back
Top Bottom