Kwanini mwanaume na mwanamke hawafanani hamu ya ngono?

Kwanini mwanaume na mwanamke hawafanani hamu ya ngono?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
10,746
Reaction score
34,131
Mwanaume anaweza ku-do mara 100 na mwanamke ila katika 100 hizo ni mara 20 ndio unakuta mwanamke alikuwa na appetite na utayari wa kweli.

Yani ni kama Mwanaume ni sex machine inayotembea muda wote yupo tayari ila mwanamke hisia zake hadi azicollect at a specific time ndio maana muda mwingine anakupa tu ili usijisikie vibaya au usimuache, etc,

Lakini all in all hakuna mapenzi bora pale mtakapo kutana wote mko katika appetite lakinio ndio hivi kwa bahati mbaya its very rare kwa maana hata mwanamke akiwa na appetite hawezi kukuambia.
7660d86dc2f715574192031840603f29~2.jpg
 
Back
Top Bottom