GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
Inakuwaje Mtu uliyefunzwa vyema tena Kimedani/ Kivita ukiwa na Ugomvi wako na Raia kwa mfano mmegombania Mwanamke na akakuzidi Kete 'akambandua' na Wewe (Mwanajeshi) kuchezea Kichapo (Kipigo) utakachokifanya ni kwenda Kambini kuwachukua Wenzako ndiyo mje Kumchangia huyu Raia na Kumpiga?
Tafadhali King Kong III ukiwawakilisha Wajeda (Wanajeshi) Wenzako nakiomba uweke Neno lako hapa.
Tafadhali King Kong III ukiwawakilisha Wajeda (Wanajeshi) Wenzako nakiomba uweke Neno lako hapa.