Kwanini Mungu yupo?

Kwani mtu kukuibia ni kukudharau!?...
 
Kwani mtu kukuibia ni kukudharau!?...
Huwezi ukaniheshimu halafu ukaniibia.
Maana ya kuniibia ni kwamba umeona Mimi sifai kumiliki hiyo Mali, lakini kwakuwa wewe ni Bora zaidi, hiyo Mali inakufaa wewe, ndiyo maana umeamua kuninyang'anya Kwa kuniibia.

Huwezi kumuheshimu Mzazi halafu ukamdhulumu au kumuibia.
(Kuna watoto wanaibia mpaka wazazi wao)
 
Mungu anao uwezo wa kufanya kile anataka bila kulazimika kuelezea chochote.
 
Kitendo cha kuishi katika ardhi umeagizwa utunze ardhi hiyo ili ikupe chakula
Safi sana, we are going somewhere.
Kwahyo kazi kubwa ya sisi binadamu ni kuitunza hii Dunia ili itupe chakula.
Sasa hii ardhi tukiitunza Mungu anapata faida Gani? Nayeye anaitumia au?

Halafu mbona naona kama hii Dunia ingekuwa sehemu Bora zaidi bila binadamu?? Sisi binadamu ndio tunaleta maswala ya pollution,global warming, climate change,nk. Yaani binadamu mpaka imefikia hatua tunatupa mabomu ya nuclear baharini,kuua viumbe, na kuyatupa nchi kavu na kuiharibu nchi.
Tunaongoza Kwa kukata miti, Tunaongoza Kwa kuchafua mazingira.

Na hata kama tuassume ni kweli tumeumbwa ili kuitunza hii Dunia...Inamaana hii Dunia ni ya muhimu kwa Mungu kuliko sisi....ndomaana ametuumba vijakazi vya kuitunza Dunia yake.
Na kama anaithamini hivyo Dunia, inampa yeye faida Gani? Anaila Dunia?.
Kwanini aliiumba Dunia?
 
Mungu anao uwezo wa kufanya kile anataka bila kulazimika kuelezea chochote.
Ndio, nafahamu Hilo..
Ndiomaana sijamuuliza Mungu, nimeuliza Wanadamu tuliopo huku jf.
Ina maana sisi wanadamu hatujui kwanini tupo hapa duniani?Hatujui kwanini tunamuabudu Mungu? Hatujui kwanini Mungu yupo?
Na tunalazimishwa kumuabudu huyu Mungu ambae hatuelezei hata umuhimu wa hizi ibaada kwake?

Mbona huyu Mungu ni kama dikteta, na anataka atuendeshe kama maroboti TU, Yani sisi ni kufuata order zake bila kuwaza hata kwanini tunafata hizo order .

Mimi sidhani sisi ni maroboti ya kufanya vitu kama mazezeta bila kufikiria.
Ndiomaana nikahoji, Kwanini Mungu yupo?
 
Ni fumbo, hakuna mtu atakuja kuelewa
 
Mbona huyu Mungu ni kama dikteta, na anataka atuendeshe kama maroboti TU, Yani sisi ni kufuata order zake bila kuwaza hata kwanini tunafata hizo order .
Angekuwa anakuendesha kama roboti usingeweza kutoa maoni yako hapa kinyume naye.
 
Naona wengi mnamlaumu mtoa mada kwanza mujue kabisa hajakufuru kwa imani yangu ya kiislamu yeye anataka kujua ,kingine anatoa swali litakapojibiwa Inakuwa elimu ....wengi tunafeli sana katika kuelimisha vichache tulivyo navyo mtoa mada amefanya reasoning na wachangia watoe evidence hakuna mahali mtoa mada kakejeli yeye kauliza na katoa assumptions zake
 
Tuendelee kuelimishana jamani, maamuma tupo tunafuatilia na mada kama hizi mi huwa silali mpaka watu wamalize kujadili.
 
Mimi binafsi ntatoa evidences na assumptions zangu kwa kidgo nilichojaaliwa kutokana na vitabu vya dini sema nitabase sana kweny sayari ya uumbaji na "kwa nn mungu yupo" kwa machache ntakayotoa sikuwa na quotes sana Aya coz ntabase kweny maoni zaidi kwa kutumia elimu niliyo nayo ili mkristo na muislamu tuwe pamoja.

Swali: kwa nn mungu yupo?

Naona ni swa na kusema je mungu yupo au sio wajameni.

jibu:Mungu yupo kutokana na sayansi ya uumbaji ulimwengu na uendeshaji wa Maisha ya viumbe vyote duniani na yote yanayotokea dunia kama ifuatavyo,







HYO BAADHI YA ELIMU SEMA KATIKA UWASILISHAJI KUNA SEHEMU NAWEZA KUWA NIMEKOSEA ILA IVYO VYOTE NILISOMA KATIKA MAARIFA YA UISLAMU KITADO CHA TATU ZIPO SABABU LUKUKI NYINGI SANA SEMA JINSI YA KUZIPANGILIA NA HAPA NATUMIA SIMU NAWEZA KUWA NIKO HURRY SANA NIMEKOSEA LABDA SPELLING ILA NIKO TAYAR KUKOSOLEWA NA KUJIFUNZA
 
Sina dini.

meditation ime tuaribia vijana.

+Chakra+Kundalini+yoga aya Mambo ni uchawi mtupu, na ndio chanzo cha aya .
 
Porojo na blah blah nyingi mjomba
 
Angekuwa anakuendesha kama roboti usingeweza kutoa maoni yako hapa kinyume naye.
Kwasababu nmeshtuka.. mi sio roboti la kufuata maagizo TU bila kujua hata kwann nayafanya.
Ila mabilioni ya waumini it seems wanafata TU bila kujua...Sasa kama wapo wanaojua ndo Nataka namimi wanielimishe kupitia Huu Uzi.
 
na kwanini yupo?
Kwa nini JUA lipo? Kwa nini linatokeza Mashariki na kuzama Magharibi na si Kaskazini au Kusini?

Huwezi ukahoji uwepo wa nature au maumbile yake namna ilivyo. Nature inakuwepo tu pasipo ridhaa yako na baada ya hapo unachotakiwa kuhoji ni SABABU ZA UWEPO WAKE na si kwa nini ipo

Kwa mfano, huwezi ukahoji kwa nini wewe umezaliwa mwanamme au mwanamke ila unaweza ukahoji sababu za wewe kuzaliwa mwanamme au mwanamke.

SI KILA SWALI ULILONALO KICHWANI KWAKO, LINA MAJIBU AMBAYO YANAWEZA KUTOLEWA NA MWANADMU
 
Hakukuwa na error isipokuwa amevipa viumbe free will na ujuzi wa kutambua baya na jema lakini wanatakiwa na anawataka wafanye mema na yule mwenye kushinda huo mtihani atazawadiwa na aliyeshindwa ataadhibiwa.
kama kuna adhabu hiyo haitakuwa free will tena
 
Kulingana na imani za dini, Mungu alikuwepo, yupo na ataendelea kuwepo (haitaji sababu ya nje ili awepo)

Kama hilo jibu halijitoshelezi kwako, basi inabidi uipinge hiyo imani na kukataa kabisa uwepo wa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…