Kwanini Mungu yupo?

Kwani mabaya ni mabaya?

Kwanini aliyaumba?
Ni mabaya sababu kutokana na uwezo wa kutambua mema na mabaya hayo mabaya ni mabaya.

Na aliyaumba ababu ni sehemu ya mtihani wa binadamu juu ya kutumia uwezo aliopewa wa kutambua mema na mabaya na matumizi ya free will aliyopewa.

Kwanini mwalimu aweke majibu sahihi na yasiyo sahihi kwenye mtihani ilhali anaweza kuweka majibu sahihi tu?
Yale majibu yasiyo sahihi yanafanya nini kwenye mtihani?
 
Binadamu hatuna free will kama mungu anajua yote yatakayo tokea mbeleni na kingine ww unajuaje una free will
Free will unayo kama isingekuwepo basi wewe usingechagua kuniquote.
Najua kuna free will sababu nimeamua kukujibu hapa.
 
Kwahyo Jibu lako ni kuwa binadamu hatuwezi kung'amua swali langu??
Kwanini hatuwezi? Je Quran imesema hatuwezi kung'amua swali langu?

Kama tumeumbwa kuabudu...kwanini tunaabudu? Mungu anapata faida Gani na ibada zetu?
Tunaabudu kwa kuwa tunatambua kuna nguvu , mamlaka iliyoi juu yetuu...

Utiii ndyoo faida anayoo pata Mungu kutokana na ibadaa...japo sio wote wano abuduu wanautii kwa Munguu
 
Freewill ni illusion tu
 
Mwalimu anaweka majibu sahihi na yasio sahihi kwenye mtihani ili kumpima mwanafunzi uwezo wa uelewa wake juu ya kile alichomfundisha

Mwalimu anafanya hivyo kwakua hana uwezo wa kuingia kichwani kwa mwanafunzi kujua kama ameelewa au hajaelewa.

Hivyo kupitia mtihani ndio ataweza kujua ni kwa asilimia gani huyu mwanafunzi ameweza kuelewa.

Lakini Mungu ambaye hata kabla hajakupa mtihani alikwisha jua kua hujaelewa anaanzaje kukupa tena mtihani jwa lengo la kukupima?
 
Hiv kwanini akili zipo? Ndio jibu lako.
 
Huwezi kuwa na muda bila kipimo?
Kwahyo kwakuwa ngombe hawana saa basi Hawana muda? Kwasababu hawawezi kuupima?
Matukio hayabadiliki?
Maana kykiwa na mabadiliko TU ya matukio basi Kuna muda..
Muda usipokuwepo kila kitu kinge'pause.
tuanzia apo muda ni nini na future ni nn?
 
sjakana haiumbwi bali yenyewe inabadilika kwenye different form
 
Yupo ili uwepo wewe. Bila yeye na wewe haupo!
 
sjakana haiumbwi bali yenyewe inabadilika kwenye different form
Maanake Mungu sio muumbaji wa kila kitu, kuna vitu vimekuja vyenyewe na yeye hana uwezo wa kuviumba
 
tuanzia apo muda ni nini na future ni nn?
Muda ni ule Mwendelezo wa matukio, mabadiliko ya uhalisia(Uhalisia lazima ubadilike according to 2nd law of thermodynamics)... matukio yanayotokea sasa ni Present, yaliyokwisha tokea ni Past, Yatakayokuja kutokea ni future.
 
Ngoja waje Siloam na Waswali Suni wakujibu. 😝😝😝😝
Ni Jehovah's witnesses pekee wanaweza kukupa jibu utakalolifurahia.
Mimi ni mlokole hapa sina jibu zaidi ya kushusha upako uokoke
 
So far hakuna uthibitisho wa mungu kuepo... ukitaka kupata idea ya ulimwengu umetokea vipi ni vizuri ukasoma articles za astronomy zinaeleza vizuri.
 
Mungu yupo wakati unapofikia mwisho wa upeo wako wa kufikiri. When you don't know you tend to believe! Is when the idea of God comes into your brain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…