mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,793
- 7,168
kwa sababu hakuwa kibaraka wa ccm, vibaraka ndio wanalipwa zaidi wakimaliza kazi.
Wajamaaaaaa
Ukita kuiba au kuuza madawa ya kulevya jiunge ccm utapata pesa nyingi sana kuna baadhi ya watu huwa wanasema ukiunga mkono vyama vya upinzani utafunguliwa kesi nyingi za uongo utatumiwa tar na kadhalika je ni kweli?
Amelipwa lini?Mwana act yeyote ajibu hoja hii ya kibo 10 kwanini mpendazoe akulipwa mafao yake lkn zito kalipwa mafao yake yote?
Kha! Yukowapi huyo unaemuuliza? Yaani mijitu kama imepagawa vile!!zitto naomba ujibu haya ingawa umeishasepa au unasoma kimyakimya
1. nanin muanzilishi wa ACT?
2. wafuasi wako kaijage na masud wa kasulu, walipewa mtaji wa kuuza dagaa, kuuza viatu na kuandaa vurugu kwa dr slaa dec 2013. je huoni yale yote yaliyokuwa kwenye mkakati wa mapinduzi ndani ya chsms ulihadisi wewe?
3. nani mfadhili mkuu wa ACT- TZ?
ingekuwa pensheni inatoka mfukoni kwako sawa.Badala ya kujadili mambo ya maana mnajadili watu makuward bwana ni shida kweli! kama inakuuma siuandamane kuelekea bungeni? kwahiyo wewe unafurahia zzk akipata njaa? itakufaidia nini katika ulimwengu huu.
rudisha kumbukumbu nyuma kipindi cha Mwana.halisi iliandikwa mawasiliano yenye mashaka kati yake na Rostom.alipohojiwa na Dr.Slaa akaleta jeuri kuwa wasimchagulie marafikiMh:kuuliza sio ujinga mm nina maswali naomba unijibu.
je ni kweli unaurafiki wa karibu na rostamu azizi?
Kuna tetes kuwa una acc yenye zaidi ya sh bilion mbili ujerumani je ni kweli?
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;
- Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
- Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.
Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.
Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha
Mzalendo Mjamaa Zito Kabwe ivi Chadema umefukuzwa au umeng'atuka?toa ufafanuzi kuepusha usumbufuNaomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;
- Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
- Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.
Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.
Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha