Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Kwanini Mpendazoe hakupewa mafao Zitto apewe?

Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha

Mkuu watu wanataka mabadiliko kwa kuiondoa ccm lakini umekuwa msaliti wa mabdililiko hayo
 
Zitto

Mkuu thibitisha mpendazoe alipewa mafao,eti unafanya biashara na mashirika uliyokuwa unayakagua!!!una tofauti gani na chenge na iptl yake?
 
Last edited by a moderator:
SheriA za mafao zipo kwenye mifuko ya hifadhi hata mpendazoe naamini kapata mafao ya makato ya mshahara wake hili si suala la kujadili mafao ni haki ya mtu
 
Zitto

Mkuu ni vema ukathibitisha hili la Mpendazoe kulipwa na labda kwanini hili lako Spika amelisema na la mpendazoe ilikuwa kimya kimya ?
 
Last edited by a moderator:
Zitto


KWA NINI WEWE UPEWE ZOTE? UMEWAFANYIA KAZI GANI MPAKA WATANGAZE KWENYE VYOMBO VYA HABARI?Mwnye macho haambiwi tazama lakini pia mwenye masikio haambiwi sikiliza.
 
Last edited by a moderator:
Hili unalisema ww sio mpenda zoe ,ilitulijadili kwa haki na unyeti wake ungetupa ushahidi wa kutolipwa kwa mpendazoe.

Rejea bandiko langu kwa mussa alan kapitie then uje hapa
 
Zitto

Mh:kuuliza sio ujinga mm nina maswali naomba unijibu.
je ni kweli unaurafiki wa karibu na rostamu azizi?
Kuna tetes kuwa una acc yenye zaidi ya sh bilion mbili ujerumani je ni kweli?
 
Last edited by a moderator:
Kilaza

Professor mbona una maswali magumu aisee ?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Siwezi kusoma hicho kipeperushi cha KOMU.

Nilijuwa tu kwa siasa zako maji taka utaanza propaganda.
Umeona utetezi wa Zitto hapo juu ulivyo mwepesi?
Hahaha..watanzania wa leo sio wale wa 90's hawadanganyiki kitoto kijana.
 
Last edited by a moderator:
SheriA za mafao zipo kwenye mifuko ya hifadhi hata mpendazoe naamini kapata mafao ya makato ya mshahara wake hili si suala la kujadili mafao ni haki ya mtu
kijana kuna mzee yeyote unamfahamu aliwahi kufanya kazi jumuiya ya afrika mashariki ?
 
Zitto nani atakuamini tena? Hata hao ulojiunga nao hawatakuamini kamwe.maana dhambi ya usaliti ni mbaya sana.
 
Mkuu,mheshiwa sana Zitto.Mbona kauli yako inaendana sana na ile ya Gurumo wa ikulu?
Sio hivyo tu,huoni kuwa unataka kuiacha hela ya mboga?
Naomba niweke sawa kidogo tu kuondoa upotoshaji wa makusudi. Kwanza mimi nasikia tu kwenye vyombo vya habari kuhusu suala la mafao. Halinisumbui. Nawakumbusha;


  1. Toka mwaka 2011 mwezi Juni niliacha kupokea posho za vikao. Kwa mwaka posho za vikao ni takribani shs 24 milioni.
  2. Wabunge hupewa msamaha wa kodi kwenye magari wanayonunua. Kwa kuwa napinga misamaha ya kodi nilikataa na mpaka namaliza ubunge sijatumia msamaha huo wa kodi.

Kwa hiyo suala la fedha sio suala la msingi kabisa kwangu kwenye maamuzi yangu.

Fact: Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo chake kwa muda wa miezi aliyotumikia Bunge. Sio kweli kwamba hakupewa kiinua mgongo chake. Alipewa na tunaweza kuthibitisha
 
Zitto Unaweza ukafafanua taarifa ya Ofisi ya bunge iliyosema kuwa:
'Zitto atalipwa haki zote ikiwemo kiinua mgongo chake sawa sawa na wabunge wengine watakavyolipwa mara bunge litakapo vunjwa rasmi, kwa sababu CHADEMA hawajaleta barua ya kumvua uanachama kwa spika na pia kwa kuwa Zitto ameamua kujiuzuru ubunge wake yeye mwenyewe'. Mwisho wa kunukuu.

Hiyo kitu iko sawa sawa kweli?
Usahihi uko wapi hasa?
Nini stahili yako hasa?
Nini utakikosa tofauti na wabunge wengine?
 
Hilo halina ubishi, yaliyowakuta Marehemu Majige na Chenyenge Mza si mnayajua?
 
Zitto

Sipendi usaliti na undumilakuwili wako lakini kwa hili uko sahihi,Mpendazoe alilipwa kiinua mgongo kwa sababu aliahidiwa na Sitta baada ya kukubali kuvaa mabomu kutangulia CCJ,bt Zito,Mbunge akifukuzwa bungeni kwa mujibu wa kanuni analipwa?usiniambie sijui nani mbona alilipwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom