FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,893
- 109,227
Anaonekana hafanyi kazi yake vizuri, biashara ya sukari ipo chini yake.Kwani bei ikiwa juu waziri wa kilimo Bashe anafaidi nini labda?
Azim Dewji anauza sukari kwa Shillingi 2,800 bei ya reja reja. Bei ambayo hata viwanda vya Tanzania hawaiuzi kwa jumla.
Dogo hilo?