Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga viwanda vyake.

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na serikali kwanza kabla hajachukua uamuzi huo, ambao unatarajiwa kuathiri watu wengi wanaofanya kazi kwenye viwanda hivyo .

Lakini swali letu ni hili, kwanini MO amefikia hatua ya kufunga viwanda vyake alivyovijenga kwa gharama kubwa na kufunga mitambo ya kisasa? kuna nini?

Swali jingine ni hili, kwanini jambo hili lishughulikiwe na Wizara ya kilimo badala ya Wizara ya Viwanda?

View attachment 2946409
Viwanda vilivyomshinda kuendesha Ni vile vinavyo saga chai Kama Ambangulu, Dindira huko TANGA na vingine mby na Iringa. Hivi vya chai alivinunua kutoka kwa wazungu.
Viwanda vyake alivyojenda Ni Kama Nicola, Mo energy, Cha ngano na kile Cha mafuta ya alizeti, nimesahau na kile Cha maji ya kunywa.
 
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga viwanda vyake.

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na serikali kwanza kabla hajachukua uamuzi huo, ambao unatarajiwa kuathiri watu wengi wanaofanya kazi kwenye viwanda hivyo .

Lakini swali letu ni hili, kwanini MO amefikia hatua ya kufunga viwanda vyake alivyovijenga kwa gharama kubwa na kufunga mitambo ya kisasa? kuna nini?

Swali jingine ni hili, kwanini jambo hili lishughulikiwe na Wizara ya kilimo badala ya Wizara ya Viwanda?

View attachment 2946409
Ingetokea miaka mitatu iliyopita, tungejua kuwa ni kwa sababu ya utawala wa dikteta; kwa nini iwe leo tena wakati nchi imeshanyooka?

Kitu kimoja cha kisichozungumzwa sana kuhusu utajiri wa Mo Dewji ni kwamba yeye ni kati ya wazawa wachache sana walionufaika na ubinafsishaji uliofanywa kiholelea na Mkapa.

Inawezekana mazingira yamebadilika sana sasa hivi kiasi kuwa viwanda hivyo alivyonunua kwa bei ya dezo wakati ule haviingizi faida tena vinahitaji transfromation ambayo akipiga mahesabu anaona hakuna haja ya kuwekeza tena huko.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya serikali kumkatalia Mo kufunga viwanda na serikali kumuomba Mo asifunge viwanda.

Serikali kumkatalia Mo kufunga viwanda ni kama vile Mo katuma barua ya maombi kufunga viwanda, halafu serikali ikakataa. Kama viwanda ni vya Mo, serikali itakataa Mo asifunge viwanda vyake kwa msingi gani?

Inaonekana Bashe kakosea kusema. Inaonekana anachomaanisha ni kwamba Mo alitaka kufunga viwanda, serikali ikawa inambembeleza asifunge.

Ila Bashe kwa sababu kazoea kauli za serikali kujimwambafy alivyoongea inaweza kutafsirika kama serikali imemkatalia Mo kufunga viwanda.

Kauli hii ni mbaya sana, kwa sababu muwekezaji anayetaka kuja kuanzisha kiwanda Tanzania akiisikia anaweza kupata picha kwamba serikali ya Tanzania haimpi uhuru mfanyabiashara kufunga kiwanda chake anapotaka, anaweza kulazimishwa kuendesha kiwanda ili, kwa mfano, atoe ajira, hata kama kiwanda hakiendeshwi kwa faida.
 
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga viwanda vyake.

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na serikali kwanza kabla hajachukua uamuzi huo, ambao unatarajiwa kuathiri watu wengi wanaofanya kazi kwenye viwanda hivyo .

Lakini swali letu ni hili, kwanini MO amefikia hatua ya kufunga viwanda vyake alivyovijenga kwa gharama kubwa na kufunga mitambo ya kisasa? kuna nini?

Swali jingine ni hili, kwanini jambo hili lishughulikiwe na Wizara ya kilimo badala ya Wizara ya Viwanda?

View attachment 2946409
Huko duniani ukiwa mfanyabiashara mkubwa unatakiwa uuze Shea ili usiwe kibri wenye Shea nyingi ndio waamuzi wa nini kifanyike....hili ni somo....je?kesho mzee Bakhresa nae akiamua kufunga...itakuwaje?....athari ni kubwa kuliko tunavyofikiri....sijui nyie mnafikiriaje?...hebu wasomi tusaidieni hapo.....
 
Huko duniani ukiwa mfanyabiashara mkubwa unatakiwa uuze Shea ili usiwe kibri wenye Shea nyingi ndio waamuzi wa nini kifanyike....hili ni somo....je?kesho mzee Bakhresa nae akiamua kufunga...itakuwaje?....athari ni kubwa kuliko tunavyofikiri....sijui nyie mnafikiriaje?...hebu wasomi tusaidieni hapo.....
Haya ni matatizo ya uchumi mdogo, usio na ushindani, usio na ufanisi, usio na uhuru, unaoingiliwa sana na serikali.

Kwenye uchumi ulio na ushindani na ufanisi, serikali haiwezi kumbembeleza mtu asifunge kiwanda chake, kwa sababu wafanyabiashara wengi watakuwa wanaililia nafasi hiyo kufanya biashara.

Kauli ya Bashe inaonesha udhaifu mkubwa katika ufanisi wa uchumi wa Tanzania.

Biashara ambayo inatakiwa kuwa huria, ikiwa na sifa za biashara huria za wafanyabiashara kuweza kuingia na kuondoka katika biashara muda wowote wanapoona sawa kufanya hivyo, inaingiliwa na vikwazo vya serikali kumkatalia mfanyabiashara asiondoke kwenye ulingo wa biashara.

Kwa maneno aliyoyasema Bashe, ukiyachukulia moja kwa moja, ni kama vile Bashe kavunja kanuni za kuruhusu biashara binafsi kuamua kuingia na kutoka katika biashara, na kavifanya viwanda vya Mo, vya kampuni ya mtu binafsi, viwe kama vya serikali.
 
Achwe afunge aone, CCM watasema SIYO MTANZANIA, na ataondolewa yeye na ndugu zake. Account zake zitakuwa frozen, na mali zitataifishwa na kuuzwa kulipia madeni anayodaiwa.
Atapelekwa INDIA kwa kuongelea, chezea majambazi.
 
Achwe afunge aone, CCM watasema SIYO MTANZANIA, na ataondolewa yeye na ndugu zake. Account zake zitakuwa frozen, na mali zitataifishwa na kuuzwa kulipia madeni anayodaiwa.
Atapelekwa INDIA kwa kuongelea, chezea majambazi.
Hawezi kufunga madeni aliyonayo ya mabenki ya ndani na nje atayalipa vipi? Dhamana kaweka hayo maviwanda

Labda yu kamtuma Bashe atishie nyau.

Uongo hawezi funga
 
Ingetokea miaka mitatu iliyopita, tungejua kuwa ni kwa sababu ya utawala wa dikteta; kwa nini iwe leo tena wakati nchi imeshanyooka?

Kitu kimoja cha kisichozungumzwa sana kuhusu utajiri wa Mo Dewji ni kwamba yeye ni kati ya wazawa wachache sana walionufaika na ubinafsishaji uliofanywa kiholelea na Mkapa.

Inawezekana mazingira yamebadilika sana sasa hivi kiasi kuwa viwanda hivyo alivyonunua kwa bei ya dezo wakati ule haviingizi faida tena vinahitaji transfromation ambayo akipiga mahesabu anaona hakuna haja ya kuwekeza tena huko.
Mchakato wa kufunga kiwanda unakuwaje?

Mwenye kiwanda anapeleka ombi kufunga kiwanda serikalini au anapeleka taarifa kuwa anataka kufunga kiwanda?

Tusije kufikia hitimisho kubwa kwa sababu Bashe kashindwa kujieleza kwa Kiswahili kizuri tu na katumia lugha ya kujimwambafy.

Mfanyabiashara kupeleka ombi la kufunga kiwanda chake mwenyewe serikalini ni kitu kisicho na mantiki, kwa sababu kiwanda ni chake.

Sasa, kama mfanyabiashara hapeleki ombi la kufunga kiwanda, serikali itakataaje ombi ambalo halipo?

Je, hapa hatuchanganyi mambo - pengine kwa kufuatisha kauli za kimwamba za Bashe kwamba serikali imekataa- hatuchanganyi mambo kwamba, serikali imemuomba Mo asifunge viwanda, wafanye mazungumzo kufanya viwanda viendelee, na huo uamuzi wa serikali kumbembeleza Mo asifunge viwanda ndio unaitwa "serikali kukataa ombi la Mo"?

Kwamba, kiukweli, serikali inambembeleza Mo asifunge viwanda, lakini Bashe anasema serikali imemkatalia Mo ombi la kufunga viwanda?

Unamkataliaje mtu kufunga viwanda vyake mwenyewe?
 
MO ni mjanja hapo anajitengenezea ground ya ku bargain tu
Kama anavotutingishiaga Lunyasi
Bashe kibaraka katumwa na Mo atishie nyau Ila sio vizuri hilo take waziri Bashe anaharibu kwa hiyo statement kuwa mwekezaji ukiwekeza Tanzania huruhusiwi kufunga biashara serikali itakukomalia.Hiyo statement inatisha wawekezaji

Raisi amuondoe uwaziri
 
Zipo taarifa kwamba Serikali ya Tanzania imekataa ombi la Mohamed Dewji la kutaka kufunga viwanda vyake.

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amemuomba Bwana Dewji kufanya majadiliano na serikali kwanza kabla hajachukua uamuzi huo, ambao unatarajiwa kuathiri watu wengi wanaofanya kazi kwenye viwanda hivyo .

Lakini swali letu ni hili, kwanini MO amefikia hatua ya kufunga viwanda vyake alivyovijenga kwa gharama kubwa na kufunga mitambo ya kisasa? kuna nini?

Swali jingine ni hili, kwanini jambo hili lishughulikiwe na Wizara ya kilimo badala ya Wizara ya Viwanda?

View attachment 2946409
Kwa sababu walio mteka hawaja chukuliwa hatua yoyote na wanapewa teuzi.
 
Hawezi kufunga madeni aliyonayo ya mabenki ya ndani na nje atayalipa vipi? Dhamana kaweka hayo maviwanda

Labda yu kamtuma Bashe atishie nyau.

Uongo hawezi funga
Aliishawahi kuishutumu serikali inamzuia kufanya biashara kule FORBES Magazine. Afunge aone kama CCM itakuwa KIJANI tena.
Hivi Yusufu Manji alienda kutibiwa na hakupona tena au nini kilimtokea?
 
Back
Top Bottom