MBWA KAMA HAWA WANAOFUATILIA MAISHA YA WATU MARA NYING WANA TABIA ZA KU FIRIWA MBALI
Basi kama huyo Moo anapitia humu, halafu akaona mnavyo tukanana kwa ajili yake, atabakia anacheeeka na ile miwani yake kama huyu jamaa hapa 🤓Kama vike babaako anavyo FIR IWA MBALI ukazaliwa takoni.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Siyo copy ya apple watch bali ni brand ya fitbit. Huenda ana sababu zake za kupenda fitbit kuliko apple watch.Billionea kijana zaidi Africa mwenye miaka 46 MO, sielewi kwa nini kila nikimuona anavaa smartwatch za kopy za kichina za Apple Watch badala ya original smartwatch za Apple.
Kwa mfano kuna picha kaweka Instagram kavaa smart watch ya kichina ambayo ni copy ya apple watch yenye brand ya kichina ya fitbit ambayo huuzwa kwa bei ya 150k TSH, tofauti na original Apple Watch ambayo huuzwa kati ya 1.5 million. TSH.View attachment 1986944View attachment 1986945View attachment 1986947
Huyu si kwamba anarudia tshirt moja, bali ana nguo zinafanana ili asipate tabu ya kuanza kuwaza achague kuvaa ipi.
huyo jamaa ana maisha ya kivyake,ukiona Tv anayotumia hata yangu ni nzuri na ya bei zaidi ya yake,ana li sumsung la zamani sanaBillionea kijana zaidi Africa mwenye miaka 46 MO, sielewi kwa nini kila nikimuona anavaa smartwatch za kopy za kichina za Apple Watch badala ya original smartwatch za Apple.
Kwa mfano kuna picha kaweka Instagram kavaa smart watch ya kichina ambayo ni copy ya apple watch yenye brand ya kichina ya fitbit ambayo huuzwa kwa bei ya 150k TSH, tofauti na original Apple Watch ambayo huuzwa kati ya 1.5 million. TSH.View attachment 1986944View attachment 1986945View attachment 1986947
Ok hata billion 20 katoa cheki hewa. Ila endelea.huyo jamaa ana maisha ya kivyake,ukiona Tv anayotumia hata yangu ni nzuri na ya bei zaidi ya yake,ana li sumsung la zamani sana
kwa kifupi anaishi maisha ya kawaida sana ,hana vitu vya kuendana na pesa yake,sisi masikini ndio tunapenda vitu vizuri
Ila we jamaa, Fitbit wapo zamani na wanatengeneza hizo saa, Apple watch za juzi tu.Billionea kijana zaidi Africa mwenye miaka 46 MO, sielewi kwa nini kila nikimuona anavaa smartwatch za kopy za kichina za Apple Watch badala ya original smartwatch za Apple.
Kwa mfano kuna picha kaweka Instagram kavaa smart watch ya kichina ambayo ni copy ya apple watch yenye brand ya kichina ya fitbit ambayo huuzwa kwa bei ya 150k TSH, tofauti na original Apple Watch ambayo huuzwa kati ya 1.5 million. TSH.View attachment 1986944View attachment 1986945View attachment 1986947
umeshaanza kudai bilioni 20, sio saa tena? 😂😂😂. Kweli kuna watu na viatu!Ok hata billion 20 katoa cheki hewa. Ila endelea.
umeelewa hata nilichoandika Mkuu au mihemko tu ?embu soma comment yangu alafu linganisha na ulicho jibu
mwamba kanishangaza sana huyo😂 mambo ya bilion 20 sijui yanahusiana nini na comment yanguumeshaanza kudai bilioni 20, sio saa tena? 😂😂😂. Kweli kuna watu na viatu!
Nilikuwa nasubiri Chief-Mkwawa na Mwl.RCT watie neno tufunge mjadala.Ila we jamaa, Fitbit wapo zamani na wanatengeneza hizo saa, Apple watch za juzi tu.
Na Fitbit kama jina lilivyo ni za watu wa mazoezi, taja superstar yoyote Ronaldo, Messi na wengineo wanatumia Fitbit.
Uko serious kabisa? Mwenzetu unayevaa original umeajiri watu wangapi?Billionea kijana zaidi Africa mwenye miaka 46 MO, sielewi kwa nini kila nikimuona anavaa smartwatch za kopy za kichina za Apple Watch badala ya original smartwatch za Apple.
Kwa mfano kuna picha kaweka Instagram kavaa smart watch ya kichina ambayo ni copy ya apple watch yenye brand ya kichina ya fitbit ambayo huuzwa kwa bei ya 150k TSH, tofauti na original Apple Watch ambayo huuzwa kati ya 1.5 million. TSH.View attachment 1986944View attachment 1986945View attachment 1986947