Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

Raha ya sigara lazima upige pafu walau moja wakati wa kuwasha kabla ya kuanza kuvuta rasmi!!
 
we are shaking well before using............. HAKA KAMCHEZO KATAMU-aliimba JOTI
 
Kwa kweli mimi nilishasubiri sana eti hadi niolewe, sasa wa kuoa hakupatikana wala nini! Nikaona hata hiyo bikira yenyewe imenichosha bora niitoe tu, so nikamkubalia mmoja ambaye sikuona dalili zozote za kuoa! Sometime tunasubiri hadi tunachoka!
 
It's ok 4 each and everything, bt plz let all of us be care on our decision. Coz katika kitu ambacho kila m2 atawajibika nacho ni maamuzi. Peace and love.
 
Duh! watu wanavyotetea zinaa! .. si ajabu ukimwi na watoto wa mitaani wanazidi kila kukicha ....!

Kwa hiyo kuoa ndiyo dawa ya UKIMWI na "watoto wa mitaani" mkuu?

Mitaa toka lini ikazaa watoto?
 
Mambo ya kuhakiki ubora zaidi (Tbs).lol!

Kwa hiyo mnamsahihisha Yehova, siyo? Maana kwa namna hiyo mtaendelea kufanya ngono hovyohovyo kwa kisingizio cha kutesti. Mliwahi kusikia wapi wanatesti
 
Kwa hiyo kuoa ndiyo dawa ya UKIMWI na "watoto wa mitaani" mkuu?

Mitaa toka lini ikazaa watoto?

1) yeh! tukipunguza kufanya mapenzi hovyo ovyo na kutulia na mmoja "NDOA" tutapunguza ongezeko la ukimwi na watoto wa mitaani .. Hii ni FACT mkuu wala haitaki kujengewa hoja ... pamoja na kwamba ukimwi una njia nyingi za maambukizi ngono ni # 1
 


1) yeh! tukipunguza kufanya mapenzi hovyo ovyo na kutulia na mmoja "NDOA" tutapunguza ongezeko la ukimwi na watoto wa mitaani .. Hii ni FACT mkuu wala haitaki kujengewa hoja ... pamoja na kwamba ukimwi una njia nyingi za maambukizi ngono ni # 1

fatilia mkuu...takwimu zinaonesha hasa mijini walio ktk ndoa yan married couples ni moja ya makundi yenye kiwango cha juu cha maambukizi ya vvu..sasa kokotoa logic hapo jibu utapata
 
Nakubaliana na wewe 100%,na hata wanaokataa wanaelewa unacho maanisha,pia wanawake wangekuwa wanasema no nadhani ingesaidia sana kusubiri.

watasema no wapi wakati wao wenyewe ni bi adamu na wanapenda utamu
 
fatilia mkuu...takwimu zinaonesha hasa mijini walio ktk ndoa yan married couples ni moja ya makundi yenye kiwango cha juu cha maambukizi ya vvu..sasa kokotoa logic hapo jibu utapata

Tatizo lipo palepale mkuu! uzinzi ...?! ukiacha uzinzi na kutulia na mkeo / mumeo ukimwi utaupata wapi...?
 
Kizazi bora kinajengwa na wazazi bora. Fikra,mawazo na akili zetu jinsi tunavyotaka ndio zinavyotupeleka. Sote ni dhaifu, lakini hakuna wakati mzuri kuonesha udhaifu wako mbele za watu. Ni kweli mkamilifu hayupo, kila mwanadamu hutenda dhambi, wakati wote mtu haipendezi kuzitangaza dhambi zake.

Mwenye kusimamia uovo, uchafu na dhambi yoyote akiwa na akili zake timamu huyu yumo hasarani, IMANI yangu, Islam inakataza ZINAA,sijui imani yako wewe!? Bado ninashaka kubwa,kwani naamini hakuna imani yoyote inayoruhusu " TEST BEFORE USE" .

Watu wanasema dunia itakapokaribia ukingoni, watu watatokwa na hofu moyoni mwao, kwa juhudi zao zote watasimamia maovu na kuyatetea kwa nguzu zao zote. Kila anae kubali kuonja kabla,hakosi sababu ingawa ni sababu za kifedhuli zilizokosa fikra na akili ya kawaida tu ya mwanadamu. Si kila kitu lazima uende darasani. Unapokosa ustahamilivu daima utaidhulumu nafsi yako, bikra yako ni zawadi kubwa kwa mume au mke wako huo ndo ustahamilivu wa maisha. Tusijifanye kama hutufaham,tusijifanye kama hatuoni, hizo ni dhambi kubwa ambazo zitatesa mno. Mwenye kuisaliti nafsi yake, hatoshindwa kumsaliti mwenzake. When you make your first love illegal, ni sawa na kuisaliti nafsi yako, hii dhimbi wengi zinawatesa,you are witness...

MWENYE KUTENDA, ATATENDEWA PIA. NA MWENYE KUISALITI NAFSI YAKE,HATOSHINDWA KUKUSALITI. STOP KIDDING YOURSELF GUYS...ALLAH KNOWS BEST.
 
Kwa kweli mimi nilishasubiri sana eti hadi niolewe, sasa wa kuoa hakupatikana wala nini! Nikaona hata hiyo bikira yenyewe imenichosha bora niitoe tu, so nikamkubalia mmoja ambaye sikuona dalili zozote za kuoa! Sometime tunasubiri hadi tunachoka!
Pole sana, ulifanya kosa kubwa sana, Naamini baada ya kuitoa ilijiona mjinga.
 
Back
Top Bottom