Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

Sasa subiri daftari la kupiga kura liboreshwe ndio utajua chadema wakoje, ndio chama chenye wapiga kura wengi ambao hawajaandikishwa fanya tafiti utakubaliana na mimi. Na swala la mvuto subiri uchaguzi utakapoanza wa 2015 ndio utajua kina wanachama wengi zaidi ya hao unaowaona kwenye mikutano tena hata asilimia 10% hawajafika kati ya hao unaowaona kwenye mikutano. Ukweli ni kwamba 2015 ccm hawana pakutokea.

Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Una sema CCM haina MVUTO - Angalia hii ni CHADEMA leo huko MBEYA


attachment.php


c.c Simiyu Yetu Sr. Magdalena
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

hivi wewe msukule wa lumumba unaangalia mikutanao operation pamoja daima
 
Wakiamua huwa wanapiga mabomu kwenye mikutano yao naona watanzania wameanza kujitambua.
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.


Naomba kuwasilisha.

Hivi umesoma wapi?

Hivi hiyo ni Mikoa Minne au Miwili ?


Wakati umefika sasa watu kama hawa wasiruhusiwe kupost humu.
CC: Invisible
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom