Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

Ukweli ukisemwa watu mnakasiriiiika, kubalini tu ukweli ulivyo. Hiyo inatokana na watu kuitambua chadema vizuri. Hasa viongozi wao wanaimaliza wao wenyewe. Kumbukeni ukitaka kula na kipofu usimshike mkono. Uongo na porojo zao watu wamezibaini kwa sasa.
 
Hebu CCM wafanye mkutano wao mtaa wa kwanza na CDM wafanye mtaa wa pili tuone ni chama gani kitaonekana ni BUNDI! BUT hakuna kukodisha ma-FUSO kwenda mbali kuomba watu wa kuhudhuria!
 
Ulitaka hiyo ruzuku wakupe upeleke kwenu?ww ni wa wapi?njoo mjini ubuni jinsi ya kuomba msaada
ili na wewe ucipukie kama waobaji wenzio
 
Ni kweli mtoa mada yupo sahii,juzi walikuja Mnyika na Lema Kule Katavi lkn mkutano ulikuwa na watu kiduchu sn ingawa walipiga PA za kutosha..nadhan wananchi hawakujitokeza bse walitangaziwa km ni Mbowe ndo anakuja.kiukweli Chadema hakina mvuto tena..
 
Lazima wakose mvuto maana watu wenyewe ni walewale maneno yao ni yaleyale So hakuna jipya na ukiona mtu kaenda kwenye mikutano yao ujue kaenda kushangaa helkopta wala sio kuwasikiliza na wasilogwe kuja Dar watasikilizwa na mateja tu watu tuko busy kusaka pesa sio kusikiliza upuuzi wao.
 
Chadema ni zitto bila zitto hakuna chadema kabisa ndiyo maana hawana jipya.
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Wananchi wahadaika sana na wahafidhina, sasa wamesema basi.

Eti kwenye mikutano hiyo lema ndio anakabidjlhiwa ndoo ya kukusanyia michango, ikijaa anaikimbiza kwenye gari lake, anamwaga, anarudisha ndoo tena!!!!!

Sasa uliza makusanyo hayo ni shilingi ngapi na zitafanya kazi gani, utaitwa majina yote; msaliti, mamluki, --------- n.k.

Watanzania wamezinduka sasa, ndio maana mkutano ya CHADEMA imedoda kama nyanya masalo.
 
Huyu mama ana matatizo jamani. Naona amwendee Dr. Kigwangwala anayesema anatibu wagonjwa wa akili. Mkutano wa Mh. Sugu hauhitaji Fuso kuleta watu. Mkutanao wa Mh. Msigwa hauhitaji Fuso kuleta watu, hivi anauonaje? Anaweza kuilinganisha na mikutano ya Kinana, Nape na Migiro waliohitaji mpaka Wali wa maharage ili watu wahudhurie??? Shame on yu mamaaaa
 
Moto wa Pamoja Daima umekuwa mkali mno! Unawaunguza akina Magdalena na mawakala wote wa magamba na mizigo, mpaka wanaweweseka na kulia vilio vya kenge! Makamanda wa chopa tatu, chochea moto, chochea motoooooo!!!!
 
Hebu CCM wafanye mkutano wao mtaa wa kwanza na CDM wafanye mtaa wa pili tuone ni chama gani kitaonekana ni BUNDI! BUT hakuna kukodisha ma-FUSO kwenda mbali kuomba watu wa kuhudhuria!

Mleta mada, mama Yake, na mkewe ndiyo hawavutiwi na Chadema
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.


1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Jitahidi sana kujifariji
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Hiyo ni assumption yako, Tunaomba uthibitisho wa kitaalaamu, maana ni kama ni mawazo yako na mategemeo ya matokeo ya mapandikizi yalitochomekwa CHADEMA walitegemea kwamba mvuto wake ungepunga mbele ya macho ya jamii.
Pengine ni kwa sababu serikali ya CCM sasa imetekeleza Sera ya maisha bora kwa kila Mtanzania, pia kwa sualala maisha ni mepesi sana kwa maana gharama na mfumuko wa bei umeshuka, Elimu iko sawasawa, Umemeumepungua bei na wala hakuna mgawo, hospitali zimekuwa bora zaidi, ajira imepatikana kiasi cha kushangaza, Maisha kwa jumla ni mazuri maana hata tembo hawauawi tena, madawa ya kulevya yamekomeshwa, ufisadi hakuna tena, raslimali zinawanufaisha waatu wote, Baraza la mawaziri limekuwa Imara na la wachapa kazi kuliko ilivyokuwa awali. Sasa CHADEMA ipate mvuto tena kwa nini? TAFAKARIIIIII!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mvuto upi hawajapaka shedo au wamesahau kupaka lipstik vipi ccm inamvutoee kweli una makengeza kama huoni si upapase?
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Kwa vile mama yako haendi mkutanoni, vinginevyo mvuto uko juu kuliko siku zozote hapa duniani
 
Mleta hojA alipaswa kutusaidia kwa vielelezo
Anaposema MVUTO anamaana ip?
Na kisha alete visibitisho juu ya madai yake! Ki msing
Nashindwa kuunga hoja au kukanusha maana cna uhakuka na yy alimaanisha nn, ntarudi akifafanua!
 
Chadema inabidi wapeleke ruzuku mikoana, waimarishe matawi, wanunue vitendea kazi kama magari, piki piki n.k KUNA FAIDA GANI YA KUKODI CHOPA TATU KWA SIKU TATU KWA SHILINGI BILIONI MOJA WAKATI MAKAO MAKUU YA CHAMA HAYANA HADHI YA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI?- AU NDO MUDA MUAFAKA WA KUZITAFUNA RUZUKU ZA CHAMA KWA KISINGIZIO CHA OPERATION FEKI?.

Chadema sijui Mshauri wao ni nani, siku nao CCM wakiamua kujitoa akili na kukodi Chopa 10 na kuzunguuka nchi nzima, si Chopa za Chadema zitasahaulika fasta?-

Bila kujenga chama kwenye grass-roots, bila kuwa na nidhamu ya fedha, bila kuwa na haki kwa wanachama, bila ya demokrasia ya kweli ndani ya chama, Chadema Wasahau kukubalika mbele ya Umma.
mkuu chama kipi chenye nidhamu ya pesa?
 
Back
Top Bottom