Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

Kwanini mikutano ya CHADEMA kwa sasa haina MVUTO?

Tujadili hoja ilowasilishwa sio kujibu kwa dhana na mitazamo ya kidhabiki.
CCM wamefika hapa walipo kwa mfumo huu wa kutokutaka kuambiana ukweli, eti utaonekana umetumwa huu sio ukomavu wa kisiasa.
Tujitizame upya.
 
Sr.Magdalena, unamaanisha hivi ni kukosa mvuto?
attachment.php
Mmh watoto wengi..
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Kwanza kajifunze hesabu, ndio uje na huo unafiki, sorry utafiti wako.
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Mama jiulize wewe kwa nini huna mvuto; sababu inaweza kuwa wanaume wamehamia Airtel
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Hujui hata kuhesabu! Mikoa miwili ambayo ni Mbeya Iringa Dar na Mwanza... shule za kata hizi!!!
 
Chadema ilishakufa kilichopo sasa hivi ni kama mgogoro wa mazishi wa kutaka wapi na lini izikwe rasmi
 
Heshima mbele wana bodi.

Nitajikita katika mikoa miwili ambayo nimeishi kwa muda sasa yaani mikoa ya Mbeya , Iringa , Dar na Mwanza.

Hapo nyuma mikutano ya CHADEMA ilikuwa na mvuto na hamasa kubwa sana, maandamo na mikutano yalivuta hisia za watu wengi na mahudhurio yalikuwa makubwa sana, kuanzia watoto, vijana , kinamama na hata wazee.

Jambo linalonisukuma kuanzisha uzi huu ni kuuliza kwa nini mahudhurio yamepungua sana, kwa nini mvuto wa maandamo na mikutano ya CHADEMA umepungua kwa kasi sana, nini chanzo cha yote hayo, kwa nini wananchi walewale waliokuwa wakijitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya CHADEMA sasa hivi hawajitokezi tena.

Je wananchi :-

1. Wamepoteza imani na CHADEMA?
2. Wamekata tamaa ya vuguvugu la mabadiliko?
3. Wanamaisha duni na sasa wameamua kuachana na siasa na kujikita katika shughuli za kuwaongezea kipato
4. Wanaelimu ya kutosha ya uraia

Naomba kuwasilisha.

Wanaogopa kupigwa mabomu,kukamatwa na kubambikiwa kesi kama ilivyojitokeza kwa baadhi ya mikutano ya CDMA.
 
HUYU MTU INAONEKANA ALIPATA DIVISION ZAIDI YA ZERO HATA KUHESABU KUNAMSHINDA, AU KAKOSEA PENGINE ALITAKA KUSEMA HANA MVUTO! mikoa miwili na mikoa aliyoorozesha vitu viwili tofauti.

Hata Dr Slaa anawajua kuwa wapo vijana wa buku, wanakesha mitandaoni. Ameyasema hayo leo Jijini Mbeya
 
Chadema inabidi wapeleke ruzuku mikoana, waimarishe matawi, wanunue vitendea kazi kama magari, piki piki n.k KUNA FAIDA GANI YA KUKODI CHOPA TATU KWA SIKU TATU KWA SHILINGI BILIONI MOJA WAKATI MAKAO MAKUU YA CHAMA HAYANA HADHI YA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI?- AU NDO MUDA MUAFAKA WA KUZITAFUNA RUZUKU ZA CHAMA KWA KISINGIZIO CHA OPERATION FEKI?.

Chadema sijui Mshauri wao ni nani, siku nao CCM wakiamua kujitoa akili na kukodi Chopa 10 na kuzunguuka nchi nzima, si Chopa za Chadema zitasahaulika fasta?-

Bila kujenga chama kwenye grass-roots, bila kuwa na nidhamu ya fedha, bila kuwa na haki kwa wanachama, bila ya demokrasia ya kweli ndani ya chama, Chadema Wasahau kukubalika mbele ya Umma.

Ikiwa utaona elimu ni ghali, jaribu ujinga

CHADEMA kutumia chopa 3, kwa ajili ya operesheni waliyoianzisha, kuna faida kubwa kuliko hasara

Tanzania miundombinu bado ni mibovu, unaweza usinielewe ila fahamu hatuna barabara za kutosha na tena tupo nyuma sana

Landcruiser anayotembelea Dr Slaa, inaenda hadi KM 360 kwa saa, ila kwa kuwa hatuna barabara za kutosha inabidi tutembee kwa 80km/h

Nchi zilizopiga hatua, kama south africa zipo barabara unazoweza kukanyaga hizo KM, kwa hiyo kutoka Dar mpaka Dom unaenda kwa 2hrs, mwanza umechelewa ni 4hrs

Sio kwamba sisi ni maskini sana na hatuwezi kuwa na barabara kama hizi, ila hata hizo za 80km ambazo kama njia za nyoka kila siku zinaharibiwa na maroli, ambapo labda ulazima wa malori ungepungua kama tungekuwa na reli nzuri ya umeme

Hakuna njia rahisi na ya uhakika na ya haraka kuweza kuwafikia wananchi, kuwapa elimu ili wakatae dhulma, wajiandae juu ya kura ya maoni juu ya katiba, wajue kinachoendelea juu ya uchakachuaji wa katiba bila kutumia chopa

Chadema inamthamini Mtanzania, na hata hizo gharama za chopa, ninahakika ruzuku ya chama ambayo ni kodi ya mtanzania siyo inayotosha kukodi chopa, kueneza chama nk, ila kuna watu waliojitolea walochonacho, maisha yao wengine wapo Serikalini lakini wanathamini kile Chadema inapigania

Siku zote, sitasubiri eti kuja kulaumu Chadema kutumia hela yake kumfikia wa kijijini eti wanatumia hela vibaya, bado nahitajika kutoa ili operesheni ziongezeke, natamani kuiona Tanzania iliyopiga hatua ki ELIMU, ki AFYA, ki MIUNDOMBINU, na KIMAISHA kwa wananchi wake

Siyo Tanzania ya leo, Mbunge anahonga ili ateuliwe na Rais awe Waziri.
 
Ni kweli mtoa mada yupo sahii,juzi walikuja Mnyika na Lema Kule Katavi lkn mkutano ulikuwa na watu kiduchu sn ingawa walipiga PA za kutosha..nadhan wananchi hawakujitokeza bse walitangaziwa km ni Mbowe ndo anakuja.kiukweli Chadema hakina mvuto tena..

wananchi wameshtuka na ulaghai wa chadema. wabunge wote wa chadema majimbo yao yamewashinda...!kazi yao kugombea posho tu kasoro zito. tumaini la wanyonge zito kabwe chadema hawamtaki.wanataka vilaza tu wakina lemma na msigwa...!
 
Back
Top Bottom