Kwanini michepuko ni watamu sana?

Kwanini michepuko ni watamu sana?

Papaa Gx

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
11,508
Reaction score
18,668
Habari zenu wadau wa JF,

Kuna hili swali huwa najiuliza lakini sipati jibu huenda humu nikapata jibu.

Hawa michepuko ni balaa unapokuwa nae hasa 6 kwa 6 nakwambia wana mambo adimu sana kwenye suala la mahaba. Kiuno kinazungushwa balaa.
 
Sijui, wakuje huku wajuvi watuambie kwanini mchepuko wako uko hivyo mkuu.
 
Habari zenu wadau wa JF.!

Kuna hili swali huwa najiuliza lakin sipati jibu huenda humu nikapata jibu. Aisee hawa michepuko ni balaa unapo kuwa nae hasa 6 kwa 6 nakwambia wana mambo adimu sana kwenye suala la mahaba.Kiuno kinazungushwa utafikili wanataka kujamba ,aisee acha niishie hapo !!!
Na ukimwi wao nao huwa mtamu kwelikweli..
 
Hata kwa mkeo jaribu kubadilisha mazingira
utakuta ni mtamu vile vile,
Na hiyo style moja tu ya kifo
cha mende january-disemba
lazima nyumbani upaone jela.
 
Back
Top Bottom