Kwanini michepuko ni watamu sana?

Kwanini michepuko ni watamu sana?

wamama jifunzeni kupendeza jamani
Yaani ukijipamba vizuri ukawa sexy na sauti yako laini kwa mmeo mbona utadekezwa kama mtoto?
wanaume tunavutiwa machoni..ukishamteka machoni pake basi hachomoki....na zile sauti za mahaba na kudeka tena saaah...
...sasa ww unajiremba siku ya send off ya shoga ako hivi nitakutamani kweli?

kingine msibweteke ovyo mkiolewa. hatupendi mavitambi yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda awe hajaamua kuchepuka kuna wengine ndugu wee hawategeki hata ufanye nini bali ni jinsi gani anamdhamini mke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunafahamu yote hayo. Mtupe moyo basi, shirikiana na mkeo kurudisha mwili wake wa zamani, yaani ni kama mnatususia hivi, mwambie mama watoto apunguze mwili uone km hatafanya hivyo..tatizo unamuangalia tu jinsi anavyonenepeana humwambii chochote unaenda kulalamika pembeni.
Ila wenyewe vitambi vyao vya bia wake hawalalamiki kwa watu bia zenyewe za ofa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom