Kwanini michepuko ni watamu sana?

Kwanini michepuko ni watamu sana?

Sisahau siku nilipokwenda t.a kuchepuka, unaambiwa binti kaja na kisauce nikakalishwa kitandani, then mbu.pu zikawekwa kwenye kisauce kisha binti akawa analick kama analick embe zile zenye kokwa ndogo, dadeki nusura nipige makelele kwa kupagawa

Jamii Forums mobile app
 
Hawana muda wa kujiongeza, kufanya hivyo anaona hasara bora amtoe out mcheps
swala la mke kuvutia ni wewe mwenyew
Mm baby wangu namnunulia lotion nzuri ajipake basi anakua lainiiii
vichupi sijui bikin nanunua nazopenda mm
perfume sijui vitop kila kitu nanunua zinazonivutia
basi akija bed kwa mech zinaanza baby baby baadae baba nimeshiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau wa JF.!

Kuna hili swali huwa najiuliza lakin sipati jibu huenda humu nikapata jibu. Aisee hawa michepuko ni balaa unapo kuwa nae hasa 6 kwa 6 nakwambia wana mambo adimu sana kwenye suala la mahaba.Kiuno kinazungushwa utafikili wanataka kujamba ,aisee acha niishie hapo !!!
Hata mkeo akichepuka kule huwa anakuwa mtam sana .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawana muda wa kujiongeza, kufanya hivyo anaona hasara bora amtoe out mcheps
Anaona kumtoa mkewe hasara lakini mchepuko ni kujitutumua huko mkewe hata wakitoka naye wakiwa meza mojq utani jirani yake huko mtaani kumbe mkewe ufanyavyo kwa michepuko na wake zao huko wanasifiwa balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli. Wengi wanaochepuka bado wanawapenda wapenzi wao.
Kinachofanya mcheps awe mtamu ni vile hukai nae muda wote mnakutana kwenye starehe tu, hakuna muda wa kugombana ni full mapenzi, mcheps anajiandaa fresh anavaa vzr, ananukia.
Sasa mume na mke mmezoeana, mnajambiana na kila kitu unamchukulia poa mwenzio.
Na mcheps huyo huyo kwa mume au mke wake si mtamu.
Sidhani kama kuna ambae ameoa au kuolewa na mcheps wake akatulia asichepuke tena.
Huyo mchepuko amuoe sasa kama haendi kutafuta mche..... mwingine tamaa tu hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mwisho nimepapenda. Kama ana uwezo au unampa pesa ya matumizi binafsi hapo unaweza kulalamika lakini mama wa nyumbani hana kipato na humpi hlf ulalamike hajiweki vizuri utakuwa unamuonea!
wamama jifunzeni kupendeza jamani
Yaani ukijipamba vizuri ukawa sexy na sauti yako laini kwa mmeo mbona utadekezwa kama mtoto?
wanaume tunavutiwa machoni..ukishamteka machoni pake basi hachomoki....na zile sauti za mahaba na kudeka tena saaah...
...sasa ww unajiremba siku ya send off ya shoga ako hivi nitakutamani kweli?

kingine msibweteke ovyo mkiolewa. hatupendi mavitambi yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wamama jifunzeni kupendeza jamani
Yaani ukijipamba vizuri ukawa sexy na sauti yako laini kwa mmeo mbona utadekezwa kama mtoto?
wanaume tunavutiwa machoni..ukishamteka machoni pake basi hachomoki....na zile sauti za mahaba na kudeka tena saaah...
...sasa ww unajiremba siku ya send off ya shoga ako hivi nitakutamani kweli?

kingine msibweteke ovyo mkiolewa. hatupendi mavitambi yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tumekuelewa, vitambi ni changamoto si mnajua nyie ndo mmetuzaliza watoto sasa tufanyeje...tutajitahidi
 
vyakula mkizingatia mbona unakua modal sana tu?
tumieni hizo smrtphone kuingia mtandaoni kujifunza aina ya vyakula vya kuwa weka fif.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunafahamu yote hayo. Mtupe moyo basi, shirikiana na mkeo kurudisha mwili wake wa zamani, yaani ni kama mnatususia hivi, mwambie mama watoto apunguze mwili uone km hatafanya hivyo..tatizo unamuangalia tu jinsi anavyonenepeana humwambii chochote unaenda kulalamika pembeni.
 
Back
Top Bottom