Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,759
- 2,795
tuwathamini wanyama.Kwanza hao mbwa wenyewe wanasemaje maana unakuta jibwa liko jalalan linakula uchafu yaani amejaa stress si bora tu ulibutue life mazima tu
tuwathamini wanyama.Kwanza hao mbwa wenyewe wanasemaje maana unakuta jibwa liko jalalan linakula uchafu yaani amejaa stress si bora tu ulibutue life mazima tu
Naona kijana wqnzungu wameshakukuambukiza tabia zoa sasa unakuwa softy wakati ww ni mbongo unatakiwa kuwa mgumu hizo roho.za upole unatoa wapituwathamini wanyama.
unakuwa na roho ngumu juu wanyama wasio na hatia?!Naona kijana wqnzungu wameshakukuambukiza tabia zoa sasa unakuwa softy wakati ww ni mbongo unatakiwa kuwa mgumu hizo roho.za upole unatoa wapi
huko mbinguni waafrica wote back-benchKuna Mbwa wa Afrika wana taabu sana. kwanza anafungwa mnyororo unamkaba shingo,analazimishwa kuvuta bangi na ugoro awe mkali,anakula mabaki ya bar walevi wasipobakiza analala njaa,akienda kujitafutia jalalani anapigwa mawe bila sababu,anajikuta na mawazo anagongwa gari anakufa.
Hili ndilo jibu. Asilimia 95 ya mbwa wanaogongwa huwa madume.Moja ya sababu ya kugongwa kwa mbwa ni la kibaiolojia zaidi tena wanaogongwa ni mbwa dume ipo hivi,mbwa jike anapokua katika heat period kwa binadamu wanawake tunasema wanapokua ovulation( yani siku tayari ya kupata mimba) mbwa majike uwa wanatoa harufu kama ishara yakuwa tayari kwa hilo tendo hivyo kutokana na uwezo wa mbwa kunusa mbwa dume anaweza akaisikia hiyo harufu toka mbali na inapelekea kuanza kutafuta mwelekeo wa hiyo harufu akitumia hisia zaidi na msukumo wa homoni bila kutumia akili katika matendo yake hivyo kutokujali uwepo wa barabara au magari ilimradi lengo lake litimie kwenye mwelekeo wa harufu kwenda kutimiza haja yake hapo ndipo huwa wanapogongwa!
Unamaanisha mbwa ni aina ya wanyama nocturnalMbwa wengi wanagongwa wakati wa usiku na sio mchana na wakati wa usiku mbwa ndio anaona vizuri sana,wakati wa giza macho ya mbwa rods (scotopic vision)zake huwa active sana kuliko cones(photopic vision),hivyo humchukua muda mrefu kubadilishana mawasiliano ,hivyo ikitokea mbwa anavuka katika giza na gari ikatokea maana yake macho yake yatashindwa kuona hivyo mara nyingi wanalazimika kusimama ama kuendelea na safari kitu ambacho ni hatari kwao
Hawaoni vizuri hasa kwenye mwanga taa. Ni kama albino ambavyo anaona zaidi usiku kuliko mchanambwa hawaoni usiku!?
Na ndio jibu halisi
"Nilishuhudia mbwa 6 wamegongwa", hii ni sentensi inayowakilisha tukio lililotokea wakati uliopita, ambapo wakati linatokea, mimi sikuwepo. Laiti kama ningesema: "nilishuhudia mbwa 6 wakigongwa", hii sentensi nayo inawakilisha wakati uliopita, ila safari hii tukio limetokea nami nikiwepo. Ni Kiswahili cha kawaida tu!kuna mtu alijaribu kukutetea hapo kwenye bold akidhani hukumaanisha hvyo
hatujuwi kiswahili.. Any way tusitoke nje ya mada"Nilishuhudia mbwa 6 wamegongwa", hii ni sentensi inayowakilisha tukio lililotokea wakati uliopita, ambapo wakati linatokea, mimi sikuwepo. (hapa hukushuhudia bali ulishuhudiwa[/coror])
Laiti kama ningesema: "nilishuhudia mbwa 6 wakigongwa", hii sentensi nayo inawakilisha wakati uliopita, ila safari hii tukio limetokea nami nikiwepo. Ni Kiswahili cha kawaida tu!
absolutely ,but they have a special case that can be awake at any time of day or nightUnamaanisha mbwa ni aina ya wanyama nocturnal
Inasikitisha sijui kifanyike nini ili jamii hiiAfrika, hasa Tanzania, tunapenda sana kupiga wanyama hasa mbwa na paka. Dereva akiona mbuzi au nguruwe anavuka barabara, atapunguza mwendo na kumuacha avuke.
Ila akionekana paka au mbwa, hapo speed itaongezwa maradufu.
Inasikitisha sana,wenzetu wanasimamisha magari ili ndege bata na watoto wake wapite, sisi dereva ndio kwanza anamfuata mnyama akamuuwe,na abiria wanashangilia... Yaani maisha yetu ni mtihani mtupu unaweza kuwa na hamu ya kwenu ila ukifika hamu yoote inakimbia,ukitoka kwenda masokoni uchafu mtupu na harufu mbaya,watu wenyewe kutwa matusi, ukirudi bila kutukanwa umshukuru Mungu.. huruma na wanyama itatoka wapi wakati maisha yetu afadhali ya wao.Ulitegemea kukuta mizoga ya mbuzi na kondoo waliogongwa magari ikiwa barabarani?
Ile ni mboga,wanagongwa na kubebwa tofauti na mbwa.
Toa maoni mkuu, ni utani tuDoooh nimeacha kutoa maoni kisa hii comment yako
Uliwashuhudia au???Barabara inapopoa hupenda kulala barabarani wakidhani ni kibarazani na hakuna hatari yoyote Ndipo tatizo linapoanzia