Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,723
- 3,366
Kuna watu wananunua wanyamahai kama mbwa, paka n.k kwa ajili ya kufuga majumbani kwao.
Cha ajabu unakuta wanyama hao wanazuruza tu ovyo huko barabarani bila uangalizi wowote na wengine wanaishia kugongwa na magari.
Mara kadhaa nimekutana na wanyama hawa tena unakuta wengine ni wale wa manyoya laini wa ndani wa bei kali.
Sasa unashangaa mtu huyu amefuga kwa mapenzi ya mnyama husika au ndo vile kwa sababu jirani anao basi lazima na wewe uwe naye mwende sawa?
Cha ajabu unakuta wanyama hao wanazuruza tu ovyo huko barabarani bila uangalizi wowote na wengine wanaishia kugongwa na magari.
Mara kadhaa nimekutana na wanyama hawa tena unakuta wengine ni wale wa manyoya laini wa ndani wa bei kali.
Sasa unashangaa mtu huyu amefuga kwa mapenzi ya mnyama husika au ndo vile kwa sababu jirani anao basi lazima na wewe uwe naye mwende sawa?