Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,693
- 20,453
Unajaribu kurembaremba, lakini mihimili ni mitatu, Bunge kutunga sheria, Mahakama kutafsiri sheria na serikali kusimamia utekelezaji wa sheria. Sasa sijui ni wizara gani inayoingia bungeni kutunga sheriaUnaelewa maana ya kutunga ??? Haya tuseme wizara inapeleka muswaada Bungeni , huko Bungeni wanaitungaje sheria ? ... Unajua Bill inakuaje ili iwe law ...
Acha kukariri madesa yako ya Nyambari Nyangwine Sheria hutungwa na Wizara ya sheria hayo unayoelezwa shuleni ni utopolo tu.