Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Nimegundua kuwa kila ninapokutia Malalamiko dhidi ya Mo Dewji basi Mlalamikaji ni Mashabiki wa Yanga na sio Simba! Je Yanga amekuwa na huruma kwa kumtetea Simba dhidi ya kile wanachodai ni Utapeli wa MO? Au wanachotaka MO aondoke ili sisi Simba tufanane na Wao kwenye kuomba?
Mashabiki Utopolo Mara kwa Mara wamekuwa wakihoji Hisa 49% za MO Dewji kuwa hajaziwekea 2B.
Lakini kwanini hawahoji Hisa 51% za Wanachama kuwa zimewekewa Billion ngapi?
Maoni Yangu:
As long as Wachezaji na Wafanyakazi wote wa Simba wanalipwa mishahara, Usajili Mzuri unafanywa, Wachezaji wanakula Vizuri, Makombe tunabeba! Basi Mimi Nina Imani na MO, hayo mengine Mimi hayanihusu, Sitaki kirudi kule kuchezesha Wachezaji wa Simba B.
Waliokataa kutapeliwa na Manji huku Wakiishi maisha Mazuri Chini ya Manji, Waache waishi Maisha ya Kuombaomba chini ya Utapeli wa GSM.
Tunapodai 20B za 49%
Pia tusisahau kudai B za 51%.
NAWASILISHA
Mashabiki Utopolo Mara kwa Mara wamekuwa wakihoji Hisa 49% za MO Dewji kuwa hajaziwekea 2B.
Lakini kwanini hawahoji Hisa 51% za Wanachama kuwa zimewekewa Billion ngapi?
Maoni Yangu:
As long as Wachezaji na Wafanyakazi wote wa Simba wanalipwa mishahara, Usajili Mzuri unafanywa, Wachezaji wanakula Vizuri, Makombe tunabeba! Basi Mimi Nina Imani na MO, hayo mengine Mimi hayanihusu, Sitaki kirudi kule kuchezesha Wachezaji wa Simba B.
Waliokataa kutapeliwa na Manji huku Wakiishi maisha Mazuri Chini ya Manji, Waache waishi Maisha ya Kuombaomba chini ya Utapeli wa GSM.
Tunapodai 20B za 49%
Pia tusisahau kudai B za 51%.
NAWASILISHA