NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,747
Kuna mashabiki wamevunjika moyo baada ya kusikia kuwa timu ilinunulia muda mrefu na Mo Dewji.
Ushauri wangu kwa Yanga watumie muda huu kusajili mashabiki waliochukizwa na ukweli uliofichwa kwa muda mrefu kuwa timu ni ya Mo Dewji.
Mashabiki ni wengi sana na hii ni fursa kwa Yanga SC kujipatia mashabiki wa kutosha.
Afisa Habari na Mawasiliano (Ali Kamwe)
Meneja Masoko wa Kimtandao (Privadinho)
Na viongozi wengine huu ni muda wenu sasa kuwakaribisha mashabiki kutoka upande wa pili.
GENTAMYCINE , OKW BOBAN SUNZU ,Kalpana .
Na wengine wengi mliokua mnatanua domo kuikejeli Yanga karibuni sana katika timu ya wananchi.
Ushauri wangu kwa Yanga watumie muda huu kusajili mashabiki waliochukizwa na ukweli uliofichwa kwa muda mrefu kuwa timu ni ya Mo Dewji.
Mashabiki ni wengi sana na hii ni fursa kwa Yanga SC kujipatia mashabiki wa kutosha.
Afisa Habari na Mawasiliano (Ali Kamwe)
Meneja Masoko wa Kimtandao (Privadinho)
Na viongozi wengine huu ni muda wenu sasa kuwakaribisha mashabiki kutoka upande wa pili.
GENTAMYCINE , OKW BOBAN SUNZU ,Kalpana .
Na wengine wengi mliokua mnatanua domo kuikejeli Yanga karibuni sana katika timu ya wananchi.