Kwanini Marekani na uingereza hawaungi mkono maandamano ya CHADEMA?

Wadau tumeshuhudia hzo nchi mbili zikiunga mkono maandamano yanayolenga kuleta mabadiliko ktk mataifa mbalimbali hapa duniani lakini cha kushangaza kwa tanzania wamekaa kimya kabisa,yani hawatoi support yoyote kwa chadema,je ni kwamba wana ajenda ya siri na chama tawala kilichoko madarakan ili wao waendelee kufaidika na maliasili zetu au imekaaje hiyo?

hakuna maandamano yaliyofanywa hapa TZ na CHADEMA au yeyote yule yakawa makubwa kiasi cha kusisimua ulimwengu bali ni rasharasha za maandamano, yale yaliyofanyika na kuendelea kufanyika kwenye Arab World si ya kawaida bado hatujafikia huko ila mambo yakiendelea hivi ipo siku tutaushangaza ulimwengu!
 
Hapo kwenye wino mzito ulikaribia kujijibu ila ulisahau maneno mawili muhimu 'POSITIVE CHANGES'.
CHADEMA haiungwi mkono kwa sababu wataleta NEGATIVE CHANGES katika nchi yetu, kwa hiyo hawawezi kuiunga mkono kamwe. Kwa mfano Wamarekani na Waingereza hawaamini kuwa Elimu Tanzania Itolewe bure. Na hata Nyerere alipotangaza kutoa Elimu na matibabu bure, Waingereza walishangaa sana na wakamuuliza kweli utaweza kufanya hivyo kwa nchi masikini kama Tanzania.
Na ni hawa hawa Waingereza na nchi nyingine za EU ndizo zilizoshinyikiza serikali ya mkapa kulipia elimu na kutoa kodi ya kichwa.

kwa hiyo ndo maana walisapoti Gaddafi ang'oke na kuuwawa kwa sababu aliwapatia wananchi wake elimu,matibabu n.k bure! kumbe ni wivu ndo unawasukuma kufanya hivyo wakiona wenzao wamefanikiwa wao wanapanga kuharibu! na sasa napata picha kwa nini ccm walisimamama kidete bungeni kusema elimu haiwezi kuwa bure dhidi ya utashi wa cdm wa elimu kuwa bure kumbe ccm walijua watapata sapoti kutoka kwa mabwana zao wa western...LOL!
 
Kila sehemu zenye vibaraka wao huwa hawaungi mkono maandamano, Mfano, hawakuunga mkono maandamano ya Misri na hawayaungi mkono maandamono ya Baharen (sina uhakika na spelling ya hiyo nchi), ila wakishapima na kuona nguvu ya umma ina shinda ila ya vibaraka wao, hapo huingia na kuanza kutaka suluhu katika kukabidhi madaraka. Yaani huwa husema "Tunapenda Rais aliyeko madarakani akabidhi madaraka au akubali kuachia madaraka kwa amani" Ukisikia kauli za hivyo ujue wameona upepo unavyoelekea kibaraka wao atashindwa tu, na happo wanaanza kutafuta mbinu ya kumlaghai kiongozi mpya ajae. Ila kama aliyeko madarakani hawamkubali, kwamba alisha wahi kuwa kibaraka wao kisha akawasaliti kwa kukataa matakwa yao ya kuiiba rasilimali za nchi husika, utasikia "tunaunga mkono maandamano ya wapenda demokrasia, na tungependa kuona nchi hiyo siku za mbeleni ikiwa na demokrasia yab kweli" ila maneno yote hayo ni uongo mtupu...Marekani na nchi za Magharibi wanacho angalia wao ni masilai, uwe katili usiwe katili kama unawapa wanachotaka wewe ni mzuri tu.
 
Wadau tumeshuhudia hzo nchi mbili zikiunga mkono maandamano yanayolenga kuleta mabadiliko ktk mataifa mbalimbali hapa duniani lakini cha kushangaza kwa tanzania wamekaa kimya kabisa,yani hawatoi support yoyote kwa chadema,je ni kwamba wana ajenda ya siri na chama tawala kilichoko madarakan ili wao waendelee kufaidika na maliasili zetu au imekaaje hiyo?
Naomba nikili kuwa mimi ni mmojawapo nisieridhishwa kabisa na uongozi wa CCM. Lakini sipendi kabisa uvamizi huu wa mataifa ya magharibi kwakuwa hauna tija kwa raia yeyote wa nchi iliyovamiwa. mifano ipo mingi duniani, labda kama uwezo wako ni mdogo wa kufuatilia historia na matukio duniani. vile vile unaonekana kuwa na fikra finyu na dhaifu sana na unaonekana kuwa dhaifu sana kwenye mapambano. kweli CCM wametushinda hadi tujikabidhi kwa ma-imperiorist! tafakari.
 
kwa hiyo ndo maana walisapoti Gaddafi ang'oke na kuuwawa kwa sababu aliwapatia wananchi wake elimu,matibabu n.k bure! kumbe ni wivu ndo unawasukuma kufanya hivyo wakiona wenzao wamefanikiwa wao wanapanga kuharibu! na sasa napata picha kwa nini ccm walisimamama kidete bungeni kusema elimu haiwezi kuwa bure dhidi ya utashi wa cdm wa elimu kuwa bure kumbe ccm walijua watapata sapoti kutoka kwa mabwana zao wa western...LOL!

Basi kama ni hivyo hao ccm ni Waangilikana na waoga wa kutumwa!. Iweje mtu unataka kuhudumia jamii yako umwogope jirani! Wana akili kweli au matope! Wanatendelea kuwakaribisha watoto wa Waangilikana ila ipo siku tutapambana nao tu!
 
Basi kama ni hivyo hao ccm ni Waangilikana na waoga wa kutumwa!. Iweje mtu unataka kuhudumia jamii yako umwogope jirani! Wana akili kweli au matope! Wanatendelea kuwakaribisha watoto wa Waangilikana ila ipo siku tutapambana nao tu!

wewe wasema!
 
Endelea kulala na mbu waendelee kukung'ata,unamalaria 3000 mwilini mwako,nchi hii haitaji watu kama wewe ili kuleta mfumo bora wa utawala,unajichekesha kwani nchi hizo zilishawahi kuisapoti ccm kwa kuifisadi nchi hii????.
 
Huwa wanasupport wapinzani pale mambo yao yanapokuwa magumu . Hawanashida ya kuisupport CDM kwa sababu wamekaribishwa mpaka chumbani.
 
Siku zote nchi za magharibi haziungi mkono mageuzi mahali penye maslahi yao.. sasa Marekani akiunga mkono mageuzi hatapata Uranium wala dhahabu yetu kiurahisi hivyo...

Uingereza wameshafilisika wamekuja na sera ya Ushoga.... ila wao maslahi yao ni mafuta na gas ambayo inawindwa sana kwenye mwambao wa bahari ya hindi..

Sasa wanahofia Chadema ikishinda ila kila kitu kitakuwa kwenye maslahi ya watanzania,,, hapo ndipo uwoga unapokuja...

umeshawahi kuona nchi marekani aliyoiunga mkono kwenye vita ina maendeleo??? hakuna......

Just want to tell the leaders of this Nation.... From Kikwete and his allies.. that

“We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them”
 
polisi wameanza kukusanywa ktk vituo mbalimbali vilivyopo Morogoro road....Hapa Ubungo(Urafikii)...Makarandika na Land cruiser zao ni nyingi sana na wao wamekusanyika kama 50 hapa kituoni...Je ni ili wazuie maanadamano ya CHADEMA LEO?
 
Wadau tumeshuhudia hzo nchi mbili zikiunga mkono maandamano yanayolenga kuleta mabadiliko ktk mataifa mbalimbali hapa duniani lakini cha kushangaza kwa tanzania wamekaa kimya kabisa,yani hawatoi support yoyote kwa chadema,je ni kwamba wana ajenda ya siri na chama tawala kilichoko madarakan ili wao waendelee kufaidika na maliasili zetu au imekaaje hiyo?

Nakaribia kufanya maamuzi magumu ya kutochangia topic za hovyo kama hii. Hivi huyu naye amekaa akafikiria? Lakini huwa nachoka zaidi ninapoangalia cheo cha mtu anayekuwa ametoa hoja, halafu unakuta iko illogic, unsound, invalid, ya kukurupuka almuradi tu mtu ana kompyuta, ana access internet na anaweza kuandia chochote hapa. Mathalani huyu ni JF SENIOR EXPERT MEMBER.
 
Wadau tumeshuhudia hzo nchi mbili zikiunga mkono maandamano yanayolenga kuleta mabadiliko ktk mataifa mbalimbali hapa duniani lakini cha kushangaza kwa tanzania wamekaa kimya kabisa,yani hawatoi support yoyote kwa chadema,je ni kwamba wana ajenda ya siri na chama tawala kilichoko madarakan ili wao waendelee kufaidika na maliasili zetu au imekaaje hiyo?

Huu ni utumbo mtupu; kwa lugha ya siku hizi hizi ni pumba tupu. Kwa marekani na uingereza, kiongozi wa nchi hatumii muda wa shughuli za nchi kwa kuzurua nje ya nchi hadi kumaliza bejati ya ofisi yake bila kudhibitiwa. Je kwa vile hawajapinga Kikwete kuzurura unadhani wanakubaliana naye?
 
kwa nini wamerekani na Uingereza,hili sio taifa la kiimla,hii nchi imejaa demokrasia hakuna mtu wa kumpindua JK HAPA,ANAYEBISHA ABISHE LAKINI HUU NDO UKWELI
 
kwa nini wamerekani na Uingereza,hili sio taifa la kiimla,hii nchi imejaa demokrasia hakuna mtu wa kumpindua JK HAPA,ANAYEBISHA ABISHE LAKINI HUU NDO UKWELI

umefauru QT mkuu au bado?Demokrasia unayosema ni hipi au unamanisha kubadirishana viranja.Marekani na Uingereza hawaungimkono kwa sababu CDM sio mashogo na wanapinga ushoga.
 
Back
Top Bottom