Kwanini Marekani inachukiwa sana?

Kwanini Marekani inachukiwa sana?

Hakuna nchi isiyokua na mapungufu ila wenzetu wamejitahidi sana. Wapo mbali mno kuliko unavyoweza kufikiri. Huyo Akon alikua kibaka akatupwa jela akatoka akafanya music mpaka sasa hivi ni famous na milionaire. Angekua kule Senegal angeweza kutoboa hivyo?

Sio Senegal tu vipi angekua huko Aabuni? Nimeuliza wataje mgeni yeyote anayefahamika aliyetoboa kwenye hizo nchi zao hawajataja jina hata moja mbaka sasa. Ni kiwanja tu mgeni ana level playing field sawa na mzawa dunia nzima.
 
Sio Senegal tu vipi angekua huko Aabuni? Nimeuliza wataje mgeni yeyote anayefahamika aliyetoboa kwenye hizo nchi zao hawajataja jina hata moja mbaka sasa. Ni kiwanja tu mgeni ana level playing field sawa na mzawa dunia nzima.
Kiwanja ni Land of opportunities!
 
Chuki za kidini Amerika ikikosa nguvu Wakristo watachinjwa wote na waislamu
Nenda uarabuni huwezi pata mafanikio hata ya kuwa na mgahawa ukiwa nchi za magharibi ni juhudi yako tu. Nchi zinazo onewa zinamatatizo wanakula vya mmarekani wanagoma kulipa lazima uchapwe.
Dini ya Waarabu ina walakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chuki za kidini Amerika ikikosa nguvu Wakristo watachinjwa wote na waislamu
Nenda uarabuni huwezi pata mafanikio hata ya kuwa na mgahawa ukiwa nchi za magharibi ni juhudi yako tu. Nchi zinazo onewa zinamatatizo wanakula vya mmarekani wanagoma kulipa lazima uchapwe.
Dini ya Waarabu ina walakini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi zaidi ya Pumba uliwahi tembelea Nchigani yakiarabu Ambayo wasio waarabu hawamiliki hata Mgahawa !

Ama ulishindwa miliki sababu ya Umaskini wako tu MKUU ?!

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom