Kwanini Marekani inachukiwa sana?

Kwanini Marekani inachukiwa sana?

Mi naon kheri marekani sababu kuna mchanganyiko wa watu ingawa racism bado ipo na afro americans pia wanakabiliwa km sisi waafrica
Kuliko haya mataifa ambayo yanapingan na system ya mmarekan na wanatak ku take control, haya mataif ni mabay zaidi
1.china
2.russia
Kuna ubaguzi mkubwa pia na china huwa wapo kwaajil ya interest zao binafsi



Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa MKUU ila nahisi pia nawewe hujanielewa Majibu Yangu Vyema
Binafsi Nimetoa Sababu zakwanini US anachukiwa Nanikatoa Sababu Zakuhusiana Na Jamaa Hapo Alosema Yakwamba Waislam Ndio Wanaoichukia US nanikatoa Mfano Wamataifa Yasiokua Yakiislam Ambayo Yamedumazwa Nakutaka Maslahi Kwa US bilakujali wao Nidini Ipi Nahapo hapo Nikamuekea Mfano Wamataifa Ambayo Niyakiislam Ambayo Chachuyamaendeleo Yake Yametokana na Wamagharibi(US)

Kuhusiana nasuala la Interest Hatakama Itatokea Super Power Ikawa UGANDA basi lazma waweze kuangalia Interest Zao kwanza mengine yatafuata

Nb:-lengo lajibu langu hapojuu kwamtoa koment haikua kama nani anafaa kua kiranja wadunia kwasasa ama laa ila ilikua kutaka kumuonesha yakwamba
1:-US linapokuja suala lamaslahi yake hua haangalia kama wewe dini gani wala nini yeye anaangalia maslahi kwanza hayo mambo mengine mtajuana baadae
2:-Nlikua Nataka Kumuonesha mtoa koment hapo juu yakwamba yapo mataifa ambayo 99% niwaislam nalipowazi yakwamba wameendelea sana baada yakufungamana na US
3:-Nlikua Nataka Kumuonesha Yakwamba Hata VENEZUELA NORTH KOREA RUSSIA UCHINA CUBA haya yote sio mataifa Ya Waislam wala Yakiislam Ila Yameionja Shubiri Ya US kwanamna moja Ama Nyengine

Kwahio lengo langu lilikua nihili tu MKUU kama umenielewa vyema lakini.

Sent using My COVID-19
 
Waarab waliulizwa nchi wanayoichukia wakajibu US, wakaulizwa tena nchi wanayopenda kuitembelea wakajibu US. Hapo ndo utajua kumbe hawaichukii US bali wanaidis ila wanaikubali kiaina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo Nguvu Alizonazo Hao Wasiokua Waislam wanaraha ipi yakuishi ?!

Angalia VENEZUELA waislam Wale ?!
Rudi Kawaangalie Zimbabwe Waislam wale ?!
Rudi Angalia Anavyowaambia Muowane Watu Wenye Jinsia moja kawaambia waislam tu ?!
angalia Vikwazo anavyomtwanga Navyo RUSSIA na UCHINA yale ninataifa Yakiislam ?!

US hachukiwi Kwasababu Ya UDINI Anachukiwa Kwasababu yauonevu wake uliojaa ulimwenguni sio kwamataifa Yakiislam tu ama Yawaislam Ila Mpaka Hayo Yanayojiita Yakisekyula Angalia Mataifa Mangapi Yasiokua Yakiislam Yanavyoteseka Ulimwenguni Sababu Ya US au NORTH KOREA niwaislam wale ?!

Tatizo lenu mmemezeshwa propaganda baadhi ya watu wameamua kufungamana na UCHINA na RUSSIA kwan UCHINA ama RUSSIA nimataifa Yakiislam yale ?!

Tafakari upya juu ya US kiongozi Unahisi kama Itatokea Sasa hv US akawa sio SUPER POWER unahisi litatawala taifa ambalo nila KIISLAM ?!

Ukweli Nikwamba US nipangimizi Kwaustawi Wayeyote ambae atakua Haendi Sawa na anavyotaka yeye wala Sio Ustawi wamataifa ya KIISLAM kwani SAUDIA QATAR UAE Zimefika pale zilipo kwaushirikiano wanani nakwamsaada wanani kama sio hao hao US ama QATAR SAUDI ARABIA na UAE Sio mataifa Yakiislam ?!

Kama nikikwazo kwamaslahi Ya Mataifa Yakiislam QUBA niwaislam VENEZUELA niwaislam ZIMBABWE niwaislam AFRIKA KUSINI ilokua Chini Yamandela Niwalikua Waislam UKRAINE ilikua Yawaislam ?!

Kama Utaamua Kwenda Kinyume namatakwa ama maslahi ya US hatakama UK atageukwa tu hatakama CANADA atageukwa tu US linapokuja SUALA lamaslahi yake hua haangalii kama mnadini sawa ama vp atakunyoosha tu

Nb:-sidhanii kama US nitaifa linalofungamana na mrengo fulani wakidini sidhaniii


Sent using My COVID-19
Safi sana... Unafikiri nje ya box

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA sio sehemu salama kuishi,idadi ya mauaji tu,karibu waizidi Syria kea mwaka wakati Syria iko vitani Sasa je marekani ikiwa vitani SI wataisha?

Marekani Ina idadi kubwa ya watu magerezani kuliko nchi yeyote duniani,

Kodi za manyanyaso Ni nyingi[emoji2][emoji2],yaani hata ufungue genge la kuuza nyanya ,pilipili hoho lazima ulipie mapato,,,Kama wewe tusene Ni bilionea inatakiwa utoe sehemu ya pesa kwa jamii na ukifa bill kutoa,serikali inataifisha Mali,

Hakunaga ujirani mwema,yaani kila mtu kivyake,,watu Wana stress wanajinyonga ovyo na mtu akiboeka tu,anachukua bunduki na kwenda kuchapa risasi watu,
Hawa sijui huwa hawafuatilii hizi details ulizoziainisha hapa .. !!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naon kheri marekani sababu kuna mchanganyiko wa watu ingawa racism bado ipo na afro americans pia wanakabiliwa kama sisi waafrica

Kuliko haya mataifa ambayo yanapingan na system ya mmarekani na wanatak ku take control, haya mataifa ni mabaya zaidi
1. China
2. Russia
Kuna ubaguzi mkubwa pia na china huwa wapo kwaajili ya interest zao binafsi



Sent using Jamii Forums mobile app
USA wapo kwaajili ya interest za nani ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa MKUU ila nahisi pia nawewe hujanielewa Majibu Yangu Vyema
Binafsi Nimetoa Sababu zakwanini US anachukiwa Nanikatoa Sababu Zakuhusiana Na Jamaa Hapo Alosema Yakwamba Waislam Ndio Wanaoichukia US nanikatoa Mfano Wamataifa Yasiokua Yakiislam Ambayo Yamedumazwa Nakutaka Maslahi Kwa US bilakujali wao Nidini Ipi Nahapo hapo Nikamuekea Mfano Wamataifa Ambayo Niyakiislam Ambayo Chachuyamaendeleo Yake Yametokana na Wamagharibi(US)

Kuhusiana nasuala la Interest Hatakama Itatokea Super Power Ikawa UGANDA basi lazma waweze kuangalia Interest Zao kwanza mengine yatafuata

Nb:-lengo lajibu langu hapojuu kwamtoa koment haikua kama nani anafaa kua kiranja wadunia kwasasa ama laa ila ilikua kutaka kumuonesha yakwamba
1:-US linapokuja suala lamaslahi yake hua haangalia kama wewe dini gani wala nini yeye anaangalia maslahi kwanza hayo mambo mengine mtajuana baadae
2:-Nlikua Nataka Kumuonesha mtoa koment hapo juu yakwamba yapo mataifa ambayo 99% niwaislam nalipowazi yakwamba wameendelea sana baada yakufungamana na US
3:-Nlikua Nataka Kumuonesha Yakwamba Hata VENEZUELA NORTH KOREA RUSSIA UCHINA CUBA haya yote sio mataifa Ya Waislam wala Yakiislam Ila Yameionja Shubiri Ya US kwanamna moja Ama Nyengine

Kwahio lengo langu lilikua nihili tu MKUU kama umenielewa vyema lakini.

Sent using My COVID-19
Umeeleweka mkuu.... Ambaye hajakuelewa ana utindio wa ubongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA sio sehemu salama kuishi,idadi ya mauaji tu,karibu waizidi Syria kea mwaka wakati Syria iko vitani Sasa je marekani ikiwa vitani SI wataisha?

Marekani Ina idadi kubwa ya watu magerezani kuliko nchi yeyote duniani,

Kodi za manyanyaso Ni nyingi😃😃,yaani hata ufungue genge la kuuza nyanya ,pilipili hoho lazima ulipie mapato,,,Kama wewe tusene Ni bilionea inatakiwa utoe sehemu ya pesa kwa jamii na ukifa bill kutoa,serikali inataifisha Mali,

Hakunaga ujirani mwema,yaani kila mtu kivyake,,watu Wana stress wanajinyonga ovyo na mtu akiboeka tu,anachukua bunduki na kwenda kuchapa risasi watu,
Ndiyo maana inakua nchi salama na bora kwa ajili ya maisha. Sheria zao zimeandikwa na zinaeleweka na mwananchi anachagua aifuate au aburuzwe na sheria mahakamani.
Suala la uhalifu pia inainesha utimamu na uhuru wa mwananchi kufanya kile anachoona kinamfaa lakini mwisho wa siku lazima maamuzi yake yatafsiriwe kisheria kama ndo maana wapo wengi mahakamani na still wanayo uhuru adi huko mahakamani.
USA bado ni sehemu salama kwa kuishi binadamu anaejitambua.Siyo nchi zetu hizi kama Tanzania ambayo maisha yenu hapo Dar yanashikiliwa na RC
 
Ukweli mchungu:Wanaoichukia Marekani wanasababu zao kuu 2.

1.Udini, waislamu wanaiona US. ni pingamizi kwa ustawi wa uislamu ulimwenguni.
2.Economic & military power.
Ukiondoa hizo sababu mbili hapo juu basi yeyote anayeichukia US kwa sababu nyingine huyo ni bendera fuata upepo.
Kwa hakika nguvu aliyo nayo Mmarekani angekuwa nayo Mwarabu Wakristo duniani tungefutwa au kuishi kwa mashaka makuu
Na ndio sababu Mungu hajawapata Waarabu hizo nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila ngoma wanataka wacheze wao .
Habari wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Marekani tunajua ndilo taifa lenye nguvu sana duniani so far.

Je ni kwanini tunaaminishwa mambo mabaya tu yanatokea Marekani?

Hii chuki ya jamii nyingi haswa za kiarabu dhidi ya Marekani je ni kwa sababu tu ya vita na maslahi yake ya mafuta katika ulimwengu wa kiarabu au kuna chanzo kingine cha chuki dhidi yao?

Na pia wamarekani wanachukiwa kwa vile wamefanikiwa sana au shida ipo wapi?

Wengine wameenda mbali na kusema Marekani inamwabudu Lucifer ndio maana wapo hapo walipo leo.so sad indeed [emoji19]

Wakuu kama kuna atatujuza kwenye hili nitashukuru sana..

Akhsante

MÊmENtO HoMO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu ambaye hajasoma historia ya marekani ndio atawachukia kwa kuwakandamiza wenzao.Lakini ukisoma wala hishangai.Ila shida kubwa ni udini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inachukiwa na nan?

Wamerekani wazawa na RAIA wanaipenda Us hatari wew unaeichukua nan,je unawaongezea nin au unawapunguzia nin ukiwachukia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukigundua mafuta hapa leo jiwe akafanya mema kwa kusema kuanzia leo elimu ni bure na bei ya mafuta ni nusu ya bei ya Dunia na kila mwana nchi atalipwa na madini yetu tutauza kwa tunayemtaka na mafuta pia !!!
WANAMTOA SADAKA MDA MFUPI KULIKO Gaddafi!!
Umeme wenyewe wana leta za kuleta!!
 
Habari wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Marekani tunajua ndilo taifa lenye nguvu sana duniani so far.

Je ni kwanini tunaaminishwa mambo mabaya tu yanatokea Marekani?

Hii chuki ya jamii nyingi haswa za kiarabu dhidi ya Marekani je ni kwa sababu tu ya vita na maslahi yake ya mafuta katika ulimwengu wa kiarabu au kuna chanzo kingine cha chuki dhidi yao?

Na pia wamarekani wanachukiwa kwa vile wamefanikiwa sana au shida ipo wapi?

Wengine wameenda mbali na kusema Marekani inamwabudu Lucifer ndio maana wapo hapo walipo leo.so sad indeed [emoji19]

Wakuu kama kuna atatujuza kwenye hili nitashukuru sana..

Akhsante

MÊmENtO HoMO
If you are BIG, the higher you go the more visible you become to many, the target you are!
 
Tukigundua mafuta hapa leo jiwe akafanya mema kwa kusema kuanzia leo elimu ni bure na bei ya mafuta ni nusu ya bei ya Dunia na kila mwana nchi atalipwa na madini yetu tutauza kwa tunayemtaka na mafuta pia !!!
WANAMTOA SADAKA MDA MFUPI KULIKO Gaddafi!!
Umeme wenyewe wana leta za kuleta!!
SI unacheki,kula palipo na mafuta ama gesi Kuna ishu
 
Back
Top Bottom