Kwanini Marekani inachukiwa sana?

Kwanini Marekani inachukiwa sana?

Habari wakuu, kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Marekani tunajua ndilo taifa lenye nguvu sana duniani so far.

Je ni kwanini tunaaminishwa mambo mabaya tu yanatokea Marekani?

Hii chuki ya jamii nyingi haswa za kiarabu dhidi ya Marekani je ni kwa sababu tu ya vita na maslahi yake ya mafuta katika ulimwengu wa kiarabu au kuna chanzo kingine cha chuki dhidi yao?

Na pia wamarekani wanachukiwa kwa vile wamefanikiwa sana au shida ipo wapi?

Wengine wameenda mbali na kusema Marekani inamwabudu Lucifer ndio maana wapo hapo walipo leo.so sad indeed [emoji19]

Wakuu kama kuna atatujuza kwenye hili nitashukuru sana..

Akhsante

MÊmENtO HoMO
Ubabe Ndiyo unaosababisha wachukiwe, hebu angalia nchi Kama Canada, unaichukiaje wakati hainyanyasi nchi zingine? Marekani wao Ndiyo wanajifanya polisi wa dunia, Tena polisi wenyewe ni wale wa kuwabambika kesi raia wake Kama wa nchi Fulani hivi.
 
Ukweli mchungu:Wanaoichukia Marekani wanasababu zao kuu 2.

1.Udini, waislamu wanaiona US. ni pingamizi kwa ustawi wa uislamu ulimwenguni.
2.Economic & military power.
Ukiondoa hizo sababu mbili hapo juu basi yeyote anayeichukia US kwa sababu nyingine huyo ni bendera fuata upepo.
Kwa hakika nguvu aliyo nayo Mmarekani angekuwa nayo Mwarabu Wakristo duniani tungefutwa au kuishi kwa mashaka makuu
Kama wewe ungekuwa ni mkweli katika hi comment yako pia ungekusia tabia ya Marekani kuvamia nchi za kiarabu na kuiba mafuta mfano LIBYA, IRAQ na Quiet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya yote mnasema lakini USA ndiyo taifa inayoongoza kwa kua na watu wengi wa mataifa mbalimbali ulimwenguni na wanaishi kwa furaha sana wenda wafanye makosa au laa lakini wanasikilizwa kwa ubinadamu wao siyo kwa utaifa wao.
Nenda kwenye hayo mataifa mnayosema yanaonewa na USA uone wanavyoonea raia wa mataifa mengine.

Kuhusu suala la taifa kama taifa hapa tu Tanganyika tunawakandamiza taifa la Zanzibar kila kukicha kwa mwamvuli la muungano wa Tanzania.

Ukweli ni kua USA bado ni sehemu salama kwa binadamu yeyote kuishi kuliko huko Venezuela..Russia..China...Korea kaskazini...Tanzania..Kenya...Japan..Iran...Israel..Kidogo Uk inajua nini maana ya ubinadamu.

Kwa lugha moja USA bado itaendelea kuingoza dunia kwasababu katiba yao iliandaliwa na watu kwa mijadala mipana siyo hizo nchi zingine viongozi wanajifungia chumbani then wanatoka na kikaratasi ya kuanza kukandamiza wananchi wao.
Ni kweli mkuu marekani Kuna raia wengi wahamiaji wa kutoka Kila nchi na wanatendewa vizuri, tatizo ni jinsi inavyowatendea mataifa mengine, kwanini uungwana wao wanaowatendea raia wao wasizifanyie nchi zingine?
 
Ukweli mchungu:Wanaoichukia Marekani wanasababu zao kuu 2.

1.Udini, waislamu wanaiona US. ni pingamizi kwa ustawi wa uislamu ulimwenguni.
2.Economic & military power.
Ukiondoa hizo sababu mbili hapo juu basi yeyote anayeichukia US kwa sababu nyingine huyo ni bendera fuata upepo.
Kwa hakika nguvu aliyo nayo Mmarekani angekuwa nayo Mwarabu Wakristo duniani tungefutwa au kuishi kwa mashaka makuu
Wangekuwa wameshatutokomeza hawa ili waishi peke yao duniani
 
Kampuni ya Mmarekani au mzungu anaweza kumwajiri mtu bila kumuuliza dini yake bali Kampuni ya Mwarabu au muislamu anamuajiri mkristo basi hapo hana namna kakosa mtu wa kiislamu kutake cover
Nashangaa sijui kwanini waafrika wengi wanawapapatikia hawa. Ifikie kipindi wakitubagua nasi tuwabague wakija kwenye nchi zetu
 
USA wanajua kuibrand nchi yao na ndio maana mabaya yao ya mauaji hasa ya ubaguzi wa rangi na magenge ya kiuhalifu hawaya semi,unaweza ukakuta wanao kufa ni wengi kuliko wanao kufa Iraq au Libya au Syria ila ndio hivyo upande wa branding yupo vizuri.

Msikilize Akon hapa akieleza.

Anaongea hivyo lakini bado anaishi na kufanya shughuli zake Marekani
 
Sija kataa lakini anacho ongea kina ukweli.

Hakuna nchi isiyokua na mapungufu ila wenzetu wamejitahidi sana. Wapo mbali mno kuliko unavyoweza kufikiri. Huyo Akon alikua kibaka akatupwa jela akatoka akafanya music mpaka sasa hivi ni famous na milionaire. Angekua kule Senegal angeweza kutoboa hivyo?
 
Hakuna nchi isiyokua na mapungufu ila wenzetu wamejitahidi sana. Wapo mbali mno kuliko unavyoweza kufikiri. Huyo Akon alikua kibaka akatupwa jela akatoka akafanya music mpaka sasa hivi ni famous na milionaire. Angekua kule Senegal angeweza kutoboa hivyo?
unahisi kwakipaji cha MUSIC ambacho AKON anacho Ulitaka Aende Akaimbie SAUDI ARABIA ama ulitaka ende KUWAIT ?!

mbna kunamambo wala sioyakufikirisha hapo BOSS kama hilo la AKON.



Sent using My COVID-19
 
Hakuna nchi isiyokua na mapungufu ila wenzetu wamejitahidi sana. Wapo mbali mno kuliko unavyoweza kufikiri. Huyo Akon alikua kibaka akatupwa jela akatoka akafanya music mpaka sasa hivi ni famous na milionaire. Angekua kule Senegal angeweza kutoboa hivyo?
WANAJITAHIDI KUFICHA MAPUNGUFU YAO ILI KULINDA IMAGE YA TAIFA LAO.So kuficha haimaanishi matatizo hayapo,yapo watu kibao wanakufa kwa ubaguzi wa rangi,bado kuna magenge kibao ya kihuni na wauza madawa ya kulevya wanauana kila siku.

Hamna mtu anayejua future ya mtu japokuwa kutoboa kwa Africa ni ngumu lakini haina mana kwamba kwa Africa kutoboa haiwezekani.
 
WANAJITAHIDI KUFICHA MAPUNGUFU YAO ILI KULINDA IMAGE YA TAIFA LAO.So kuficha haimaanishi matatizo hayapo,yapo watu kibao wanakufa kwa ubaguzi wa rangi,bado kuna magenge kibao ya kihuni na wauza madawa ya kulevya wanauana kila siku.

Hamna mtu anayejua future ya mtu japokuwa kutoboa kwa Africa ni ngumu lakini haina mana kwamba kwa Africa kutoboa haiwezekani.
Pamoja na mapungufu yote uliyoelezea hapo bado America ni sehem ambayo unaweza kutoboa bila kujali rangi, kabila, dini au sehem uliyotoka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo Nguvu Alizonazo Hao Wasiokua Waislam wanaraha ipi yakuishi ?!

Angalia VENEZUELA waislam Wale ?!
Rudi Kawaangalie Zimbabwe Waislam wale ?!
Rudi Angalia Anavyowaambia Muowane Watu Wenye Jinsia moja kawaambia waislam tu ?!
angalia Vikwazo anavyomtwanga Navyo RUSSIA na UCHINA yale ninataifa Yakiislam ?!

US hachukiwi Kwasababu Ya UDINI Anachukiwa Kwasababu yauonevu wake uliojaa ulimwenguni sio kwamataifa Yakiislam tu ama Yawaislam Ila Mpaka Hayo Yanayojiita Yakisekyula Angalia Mataifa Mangapi Yasiokua Yakiislam Yanavyoteseka Ulimwenguni Sababu Ya US au NORTH KOREA niwaislam wale ?!

Tatizo lenu mmemezeshwa propaganda baadhi ya watu wameamua kufungamana na UCHINA na RUSSIA kwan UCHINA ama RUSSIA nimataifa Yakiislam yale ?!

Tafakari upya juu ya US kiongozi Unahisi kama Itatokea Sasa hv US akawa sio SUPER POWER unahisi litatawala taifa ambalo nila KIISLAM ?!

Ukweli Nikwamba US nipangimizi Kwaustawi Wayeyote ambae atakua Haendi Sawa na anavyotaka yeye wala Sio Ustawi wamataifa ya KIISLAM kwani SAUDIA QATAR UAE Zimefika pale zilipo kwaushirikiano wanani nakwamsaada wanani kama sio hao hao US ama QATAR SAUDI ARABIA na UAE Sio mataifa Yakiislam ?!

Kama nikikwazo kwamaslahi Ya Mataifa Yakiislam QUBA niwaislam VENEZUELA niwaislam ZIMBABWE niwaislam AFRIKA KUSINI ilokua Chini Yamandela Niwalikua Waislam UKRAINE ilikua Yawaislam ?!

Kama Utaamua Kwenda Kinyume namatakwa ama maslahi ya US hatakama UK atageukwa tu hatakama CANADA atageukwa tu US linapokuja SUALA lamaslahi yake hua haangalii kama mnadini sawa ama vp atakunyoosha tu

Nb:-sidhanii kama US nitaifa linalofungamana na mrengo fulani wakidini sidhaniii


Sent using My COVID-19
Murua aisee umesomeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli mchungu:Wanaoichukia Marekani wanasababu zao kuu 2.

1.Udini, waislamu wanaiona US. ni pingamizi kwa ustawi wa uislamu ulimwenguni.
2.Economic & military power.
Ukiondoa hizo sababu mbili hapo juu basi yeyote anayeichukia US kwa sababu nyingine huyo ni bendera fuata upepo.
Kwa hakika nguvu aliyo nayo Mmarekani angekuwa nayo Mwarabu Wakristo duniani tungefutwa au kuishi kwa mashaka makuu
Wajinga tu ndo wanaichukia Marekani,anayemwabudu Lucifer awezaje kuwa na nguvu na mafanikio kuliko anayemwabudu Mungu? Marekani ndo nchi bora na yenye upendo kuliko Mataifa yote kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unahisi kwakipaji cha MUSIC ambacho AKON anacho Ulitaka Aende Akaimbie SAUDI ARABIA ama ulitaka ende KUWAIT ?!

mbna kunamambo wala sioyakufikirisha hapo BOSS kama hilo la AKON.



Sent using My COVID-19
Hapana, angeenda huko angefulia mno, US ndo kinara wa burudani duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom