The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,425
Kwa wanaojua kilichotokea Afghanistan ambako magaidi wa kitaleban sasa wanatesa huku Irak ikigeuka taifa lililofeli, watakubaliana nami kuwa Marekani licha ya unafiki na woga, inaonekana kutokuwa na uwezo wa kujifunza.
Vita vya Afghanistan na Irak viliigharimu Marekani jumla ya dola trilioni 6.5 wakati wamarekani walio wengi kwa taabu?(Americans could owe $6.5 trillion for wars in Afghanistan and Iraq — and that's just the interest.
Hapa hutajaongelea aibu ya kichapo cha Vietnam na Somalia. Kwanini wamarekani ni mataahira na mazwazwa yasiyojifunza hadi kuiumiza dunia na watu wao bila sababu?
Vita vya Afghanistan na Irak viliigharimu Marekani jumla ya dola trilioni 6.5 wakati wamarekani walio wengi kwa taabu?(Americans could owe $6.5 trillion for wars in Afghanistan and Iraq — and that's just the interest.
Hapa hutajaongelea aibu ya kichapo cha Vietnam na Somalia. Kwanini wamarekani ni mataahira na mazwazwa yasiyojifunza hadi kuiumiza dunia na watu wao bila sababu?