afghanistan

Afghanistan ( (listen); Pashto/Dari: افغانستان, Pashto: Afġānistān [avɣɒnisˈtɒn, ab-], Dari: Afġānestān [avɣɒnesˈtɒn]), officially the Islamic Republic of Afghanistan, is a landlocked country in Asia. Afghanistan is bordered by Pakistan to the east and south; Iran to the west; Turkmenistan, Uzbekistan, and Tajikistan to the north; and China to the northeast. Occupying 652,000 square kilometers (252,000 sq mi), it is a mountainous country with plains in the north and southwest. Kabul is the capital and largest city. The population is 32 million, mostly composed of ethnic Pashtuns, Tajiks, Hazaras and Uzbeks.
Human habitation in Afghanistan dates back to the Middle Paleolithic Era, and the country's strategic location along the Silk Road connected it to the cultures of the Middle East and other parts of Asia. The land has historically been home to various peoples and has witnessed numerous military campaigns, including those by Alexander the Great, Mauryas, Muslim Arabs, Mongols, British, Soviets, and by the United States with allied countries. The land also served as the source from which the Kushans, Hephthalites, Samanids, Saffarids, Ghaznavids, Ghorids, Khaljis, Mughals, Hotaks, Durranis, and others have risen to form major empires.
The political history of the modern state of Afghanistan began with the Hotak and Durrani dynasties in the 18th century. In the late 19th century, Afghanistan became a buffer state in the "Great Game" between British India and the Russian Empire. Its border with British India, the Durand Line, was formed in 1893 but it is not recognized by the Afghan government and it has led to strained relations with Pakistan since the latter's independence in 1947. Following the Third Anglo-Afghan War in 1919 the country was free of foreign influence, eventually becoming a monarchy under Amanullah Khan, until almost 50 years later when Zahir Shah was overthrown and a republic was established. In 1978, after a second coup Afghanistan first became a socialist state and then a Soviet protectorate. This evoked the Soviet–Afghan War in the 1980s against mujahideen rebels. By 1996 most of Afghanistan was captured by the Islamic fundamentalist group the Taliban, who ruled as a totalitarian regime for over five years. Following the 9/11 attacks, an intervention by the US and its allies forcibly removed the Taliban from power, and a new democratically-elected government was formed, but the Taliban still control a significant portion of the country.
Afghanistan is a unitary presidential Islamic republic. The country has high levels of terrorism, poverty, child malnutrition, and corruption. It is a member of the United Nations, the Organisation of Islamic Cooperation, the Group of 77, the Economic Cooperation Organization, and the Non-Aligned Movement. Afghanistan's economy is the world's 96th largest, with a gross domestic product (GDP) of $72.9 billion by purchasing power parity; the country fares much worse in terms of per-capita GDP (PPP), ranking 169th out of 186 countries as of 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. Q

    JamiiForums Tanzania Ni aibu na fedheha kwa Tanzania kuwekwa kundi moja la kihalifu na nchi za Myanmar na Afghanistan

    EU statement to UN. Regarding the situations in Afghanistan, Myanmar, the Occupied Palestinian Territory, South Sudan, and Sudan, the EU is concerned with the widespread human right violations in Tanzania. CCM ndiyo iliyotufikisha hapa kwa kung'ang'ania madaraka na kukumbatia magenge ya...
  2. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Week hii imechangamka ghafla sana. Huku Israel na Irani wanadundana, ukiangalia kule Pakistan na Afghanistan napo pamoto.

    Warmongers msiishiwe mabando tu ila kazi kwenu😂😂
  3. Brother Depo

    JamiiForums Tanzania Vita ya Pakistan na Afghanistan Mmeipotezea?

    Jukwaa hili maarufu la nyuzi za kimataifa hasa vita zinazotokea na zilizotokea mmepotezea vita ya Pakistan na Afghanistan?
  4. Mindyou

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Afghanistan imeangusha ndege ya Pakistan

    Wakuu, Nimeona hii picha inadaiwa kuwa ni ndege ya Pakistani imeshambuliwa na jeshi la Afighanstan. Uhalisia upoje?
  5. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Taliban yaruhusu wanawake kupigwa ila wasivunjwe mifupa au kupata majeraha

    Kiongozi mkuu wa Taliban, Hibatullah Akhundzada amesaini sheria mpya ya adhabu nchini Afghanistan ambayo inaruhusu wanaume kuwapiga wake na watoto wao, isipo kuwa vipigo hivyo havisababishi kuvunjika kwa mifupa kwenye miili yao. Aidha mazingira ya kisheria kwa wanawake yamezidi kuwa magumu...
  6. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Elimu nchini afghanistan atangaza rasmi marufuku ya utoaji wa elimu kwa wanawake

  7. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Nicholas Irving, sniper wa jeshi la USA: 80% ya wanaume Afghanistan wanalala na wanaume wenzao, hujihusisha na wanawake kuzalisha ila sio kimapenzi

    https://youtu.be/JckpoXyX2M0?si=UjLYhvyAVyHHVS_R
  8. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Maraisi wazalendo wote Duniani wanashindanishwa kwenye tuzo ngumu na za kibabe hapo utamuona Mrusi, marekani, India, Tanzania, Afghanistan

    Hizo ni tuzo ngumu ambazo ulaya wanajaribu kuzipa jina baya kiuhalisia hao Marais ni wazalendo kwa MATAIFA Yao wamekunywa maji ya bendera zao, ni wakomavu kwelikweli. Huwezi ukagusa maslahi ya marekani halafu ukabaki salama Huwezi ukagusa waya wa mrusi halafu ukabaki salama Huwezi ukagusi...
  9. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Nasikia nchini Afghanstan Polisi na Jeshi wameongezewa mshahara kuelekea tukii kubwa la mwisho wa mwezi

    Kuna mtu kachungulia pay roll za mwezi huu huko jijini Kabul anasema kaona wazee wa kazi wameongezewa kitu. Je ukweli ni upi kwa mnaofuatilia siasa za Afghanstani?
  10. D

    JamiiForums Tanzania Trump mbioni kuirudisha kambi ya kijeshi ya Bagram, Taliban wakataa ombi hilo

    Wataliban wamekataa ombi la Rais wa Marekani Donald Trump la kurejesha kambi ya kijeshi ya Bagram, wakisisitiza kuwa uhuru na mipaka ya Afghanistan ni muhimu na Marekani iheshimu makubaliano ya awali. Bagram, kambi kubwa zaidi ya Marekani nchini Afghanistan, ilitumika kama ngome kuu wakati wa...
  11. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Utamaduni wa Bacha Bazi Afghanistan jimbo la Kandahar na kwingineko: Wavulana wanavyoolewa na matajiri

    Historia ya tabia za jinsia moja katika Kandahar na maeneo ya Asia ya Kati: Katika baadhi ya jamii za kihistoria, hasa zile zenye mfumo wa kijeshi au wa wanaume pekee (patriarchal), kumekuwa na ripoti za mahusiano ya kimapenzi baina ya wanaume. Katika baadhi ya sehemu za Afghanistan (ikiwemo...
  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Inafikirisha majanga ya Sudani na Afghanistan yalivyofuatana

    Aisee dunia NI kama mashine ya KUKATA inakula watu vibaya mno imagine Jana Tu watu 800 wamekufa kwa tetemeko nchi ya Afghanistan Leo asubuh kuna maporomoko huko Sudan watu zaidi ya 1000 wamekufa.Ndo maana tunasema ndugu zetu hawa waache maimani makali na ugaidi kuua watu kupigana kila siku ona...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Takribani watu 800 wamepoteza Maisha na 2,500 kujeruhiwa na Tetemeko la Ardhi Afghanistan

    Kwa mujibu wa taarifa zilizotelewa na vyombo vya habari Al Jazeera na Reuters kumetokea tetemeko la ardhi Afghanistan usiku wa kuamkia September 1, 2025 lenye ukubwa wa Ritcher 6.0 na kusababisha idadi ya vifo takribani 800 na majeruhi zaidi ya 2,800. Idadi hiyo imekuwa ikiongezeka zaidi ya...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Tetemeko Laua Zaidi ya Watu 25 Afghanistan

    Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia baada ya tetemeko la ardhi la kipimo cha 6.0 kupiga mashariki mwa Afghanistan, karibu na mpaka wake na Pakistan. Zaidi ya watu 115 waliojeruhiwa wamepelekwa hospitali katika majimbo ya Nangarhar na Kunar, maafisa walisema. Tetemeko hilo la kina kirefu cha...
  15. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Urusi imekuwa nchi ya kwanza kutambua serikali ya Taliban ya Afghanistan

    Urusi imekuwa nchi ya kwanza kuutambua rasmi utawala wa Taliban, huku Waziri wa Mambo ya Nje wa Afghanistan Amir Khan Muttaqi akiuita uamuzi wa "ujasiri". Alikutana na balozi wa Urusi nchini Afghanistan, Dmitry Zhirnov, mjini Kabul siku ya Alhamisi, ambapo Bw Zhirnov aliwasilisha rasmi uamuzi...
  16. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani haijifunzi na inatumia kikagosi chake Israel na kuigopa Iran bila kujifunza toka Afghanistan na Iraq?

    Kwa wanaojua kilichotokea Afghanistan ambako magaidi wa kitaleban sasa wanatesa huku Irak ikigeuka taifa lililofeli, watakubaliana nami kuwa Marekani licha ya unafiki na woga, inaonekana kutokuwa na uwezo wa kujifunza. Vita vya Afghanistan na Irak viliigharimu Marekani jumla ya dola trilioni...
  17. Khanji kapoor

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini pakstani inawafukuza mamilion ya wa afghanistan? Wakati wote ni jamii moja na majarity ni dini Moja?

    Wa afghanistan wanateseka Sana nchini pakstani Wanafukuzwa ila hawataki kuondoka wanasema wakirudi maisha yao yanakuwa hatarini Hata hivyo pakstani imewabeba kinguvu na kuwarudisha kwa maelfu! Ninachojiuliza dini ya kiislam inahamasisha muislam mpende muislam mwenzako na hizi nchi asilimia...
  18. HIMARS

    JamiiForums Tanzania Marekani yarudi Afghanstan

    Habari ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa Marekani imerudi nchini Afghanstan kwenye kambi ya Baghram baada ya kufanya makubaliano na Taliban. Hayo yameonekana baada ya Marekani kuwaachilia na kuwaondoa katika list ya magaidi sehemu ya viongozi wa Taliban. Pia imeonekana hivyo baada ya...
  19. Fbn

    JamiiForums Tanzania Afghanistan ni nchi moja safi sana kibinadamu kama mgeni japo vyombo vya habari kutangaza vibaya

    Hawa jamaa sio kama vyombo vya habari vinavyo chukua mda wa stive mangere,mwijaku,dotto magari,baba levo na wapuuzi ambao wamejazana kila kona kueleza raisi wa nchi bila kufumbua watu nchi ambazo ni fursa. Katika kitu ambacho unatakiwa kuelewa walipotokea na ukarimu wa afghanistan ni kwamba...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Askari wa Marekani waliorudi nchini kwao baada ya kushiriki vita nchini Iraq na Afghanistan wanajiua kwa viwango vya juu

    Ripoti zinasema, tangu uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan na Iraq uliotokea baada ya Shambulio la September 11: 1. Zaidi ya askari 30,000 walioshiriki uvamizi huo wamejiua. Hii ni mara nne zaidi ya askari waliokufa vitani/ kwenye mapigano. 2. Mwaka 2019 pekee askari 6261 walijiua ikiwa ni...
Back
Top Bottom