Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

Na hili ndio Israel wanataka, watatengeneza zengwe tu ili mwisho wa siku hii vita iishe kwa Iran kupigwa hata ikiwezekana kwa nukes ila sio kuona USA inamaliza vita hii mezani.
Ila kwa Iran hilo halitatokea. Amini hilo kaka. Kwa hii vita iliyotokea imeshampa nguvu Iran kidiplomasia na kikanda ulimwenguni. Pia imefanya nguvu ya kisiasa na kidiplomasia ya Marekani na Israel ianguke. Kila siku sio ijumaa bro,kwamba waliyofanya wazayuni kuiangusha Syria,Lebanon na Misri basi watafanya kwa kila nchi ikiwemo Iran. Nooop lazima kuna kisiki kitatokea tu kuweka challenge ikiwezekan ya milele.
 
Uncircumcised baboon wewe kwa uelewa wako huo nenda chit-chat kutakufaa huku kumekuzidi
Huna hoja umezoea kudanganya wajinga
Huwezi kuwa mchambuzi ukishachagua upande

Hivi Iran umeweza hata Kurusha hata jiwe Marekani kama Ukraine ilivyoshambulia Moscow??

Kiongozi mkuu wa Iran anauwawa kama kuku alafu unaipa credit hiyo nchi dhidi ya Us
Chambua mada zingine unazoziwezaga
 
Huna hoja umezoea kudanganya wajinga
Huwezi kuwa mchambuzi ukishachagua upande

Hivi Iran umeweza hata Kurusha hata jiwe Marekani kama Ukraine ilivyoshambulia Moscow??

Kiongozi mkuu wa Iran anauwawa kama kuku alafu unaipa credit hiyo nchi dhidi ya Us
Chambua mada zingine unazoziwezaga
Kuna kombora hata moja limetokea Langley, au Minnesota?
Iran alipigana hii vita kimkakati mkuu.
Na kwanini apige kombora raia wa NY wakati wanajeshi wa CENTCOM wanaomshambulia amewaacha UEA, Qatar na Saudi Arabia?
 
Back
Top Bottom