Kwanini Marais wa Tanzania huandika vitabu wakishastaafu na marais wa Marekani huandika wakiwa madarakani?

Tofauti ya wazi ni kwamba
TUNA UTOFAUTI WA POLITICAL STRUCTURE BAINA YETU NA WAO .

Wao ili uwe kiongozi nilazima uwe na kitu kichwani CRITICAL THINKING AND HIGHLY RESOANING CAPACITY wakati hapo nyumbani cha muhimu UWE NA K³ ujue KUSOMA ,ujue KUANDIKA and finally ujue KUHESABU na mwisho na wenda ikawa muhimu kuliko zote uwe mwana ccm mtiifu period .

***
Jingine la muhimu ni tofauti ya maandiko yao na ya wa kwetu -:


Kwa wenzetu huwa wanaandika kwa maana kuu mbili kubwa -:

1. Nisehemu ya KUJIPIGIA CAMPAIGN (hasa kwa sababu kuu tajwa nikiyokwisha kuieleza pale juu ) kwamba wao ni nani ,wanauwezo gani na wamepitia changamoto zipi na zipi na wakati mwingine wanamafanikio gani ,Kwakufanya hivyo hufanikiwa kuishawishi jamii na vyombo vya usalama kufikiri zaidi kuhusu yeye kuliko yule asiyeweka mambo yake hadharani .

2. Kuacha alama na kusaidia kuamsha ari kwa wengine ,na huu ni utaratibu wao tu wa kizungu (unajua wazungu au watu wa Ulaya wanamila na utaratibu tofauti na kwetu ) wenzetu kule hata akijua tu kumenya ndizi huwa hatamani kuona mwingine akiseka na jambo hilo hivyo huliweka mitandaoni ilu wengine liwasaidie huku huko kwetu wengi siyo wenye kariba hiyo naogopa kujiita kuwa tunausisi zaidi . (selfishness)

Vitabu vingi vilivyoandikwa na Marais wa magharibi huwa vinahusu
TAALUMA ,CHANGAMOTO KADHAA WALIZOPITIA NA MAFANIKIO YAO hadi kuwafikisha walipo .nitalieleza.

Kwetu hatuna utaratibu huo kwasababu wengi wa viongozi wetu huwa hawafanikiwi kimkakati zaidi ya kutegemea kudra tu na wakati mwingine njia zisizoweza kufafanulika ikiwemo ushirikina au sifa za kubumba (safari zao za kimapambano kutokuwa na uwezo wa kuelezeka)

Na mwisho huishia kuandika majuto na maeneo kadhaa machache waliyoyapatia .

Mara nyingi haya huwa hayana uwezo wa kuanikwa wakiwa bado kwenye mbio moja kuieleke nyingine .
 
Tofauti ya wazi ni kwamba
TUNA UTOFAUTI WA POLITICAL STRUCTURE BAINA YETU NA WAO .

Wao ili uwe kiongozi nilazima uwe na kitu kichwani CRITICAL THINKING AND HIGHLY RESOANING CAPACITY wakati hapo nyumbani cha muhimu UWE NA K³ ujue KUSOMA ,ujue KUANDIKA and finally ujue KUHESABU na mwisho kwa na wenda ikawa muhimu kuliko zote uwe mwana ccm mtiifu period .

***
Jingine la muhimu ni tofauti ya maandiko yao na ya wa kwetu -:


Kwa wenzetu huwa wanaandika kwa maana kuu mbili kubwa -:

1. Nisehemu ya KUJIPIGIA CAMPAIGN (hasa kwa sababu kuu tajwa nikiyokwisha kuieleza pale juu ) kwamba wao ni nani ,wanauwezo gani na wamepitia changamoto zipi na zipi na wakati mwingine wanamafanikio gani ,Kwakufanya hivyo hufanikiwa kuishawishi jamii na vyombo vya usalama kufikiri zaidi kuhusu yeye kuliko yule asiyeweka mambo yake hadharani .

2. Kuacha alama na kusaidia kuamsha ari kwa wengine ,na huu ni utaratibu wao tu wa kizungu (unajua wazungu au watu wa Ulaya wanamila na utaratibu tofauti na kwetu ) wenzetu kule hata akijua tu kumenya ndizi huwa hatamani kuona mwingine akiseka na jambo hilo hivyo huliweka mitandaoni ilu wengine liwasaidie huku huko kwetu wengi siyo wenye kariba hiyo naogopa kujiita kuwa tunausisi zaidi . (selfishness)

TAALUMA ,CHANGAMOTO KADHAA WALIZOPITIA NA MAFANIKIO YAO hadi kuwafikisha walipo .

Kwetu hatuna utaratibu huo kwasababu wengi wa viongozi wetu huwa hawafanikiwi kimkakati zaidi ya kutegemea kudra tu na wakati mwingine njia zisizoweza kufafanulika ikiwemo ushirikina au sifa za kubumba (safari zao za kimapambano kutokuwa na uwezo wa kuelezeka)

Na mwisho huishia kuandika majuto na maeneo kadhaa machache waliyoyapatia .

Mara nyingi haya huwa hayana uwezo wa kuanikwa wakiwa bado kwenye mbio moja kuieleke nyingine .
Ndio maana utaona bado tuko nyuma sana , ushirikina unatumika. Kupanda ngazi za uongozi , sio siasa ya kuonesha ukomavu wa kifikra na njia za kwanini mtu anataka kugombea

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana utaona bado tuko nyuma sana , ushirikina unatumika. Kupanda ngazi za uongozi , sio siasa ya kuonesha ukomavu wa kifikra na njia za kwanini mtu anataka kugombea

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Yeah although pia tusisahau kuwa tunatofauti ya KI-UMRI kati yetu na wao mkuu wangu , they talk about two hundred years tangu wapate uhuru and we are now almost 60 yrs since then , so tusijisahau pia kulifahamu hilo wakuu .
 
Bado tunayo safari ndefu ya mchujo wa viongozi wenye charisma kufikiri kwa dimensions ya miaka 100 mbele na nyuma , saioni kama umri ni kikwazo kwa context hii
 
Katika political. Aspirant woote ninaowafahamu hakuna mwenye published book .hata mmoja, bora tumwache mama tu aendelee,
 
Wewe ndiye unarukaruka.
Hii hoja umeijenga baada ya kuona comments za wadau.

Kiini cha hii mada yako ilikuwa ni kudharau maraisi wetu ukiwalinganisha na wa Marekani.
Kuandika kitabu ukishakuwa rais ni rahisi sana kijana , tofauti na hilo tunataka pia tuone kitabu kabla na baada ya ofisi kuu , na ndio maana akina Obama wanavitabu lukukki , kama a dream .from. My father , fhe audacity na vingine vingi

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Kwanini Marais wa Tanzania huandika vitabu mara tu baada ya kustaafu, tofauti na Maraisi wa Marekani ambao huandika Vitabu kabla ya kuukwaa Uraisi. Hii picha inakufundisha nini?
Kwa sababu wana akili za kuku, ni kula hela zetu tu ndiyo wanalojua
 
Back
Top Bottom