Pesa zote hizi alizopata kazipeleka wapi?
kwa nini kijijini kwao kuna vujumba vidogo vidogo na dhiki left and right?
kashindwa vipi kuiga mfano wa viongozi wa wenzake akajenga MJUMBA mkubwa na wamaaana?
hivi kweli mtu mwenye hadhi ya mandela kuwa na kijumba kidogo kama kule maana yake nini?
kwa nini kijijini kwao kuna vujumba vidogo vidogo na dhiki left and right?
kashindwa vipi kuiga mfano wa viongozi wa wenzake akajenga MJUMBA mkubwa na wamaaana?
hivi kweli mtu mwenye hadhi ya mandela kuwa na kijumba kidogo kama kule maana yake nini?